Wadau namsikia waziri wa mambo ya ndani ndugu Emanuel Nchimbi kwenye TBC Taifa akiwahutubia watu wa Songea mjini kuwa kuna sms zinasambazwa nchini juu ya kuanzishwa kwa jamuhuri ya tanzania kusini.
Naomba nimnukuu alivyoisoma hiyo sms na inavyosema ."KUANZIA JIWE LA MZUNGU LILILOPO KILWA MPAKA MSAMBATI HADI SONGEA NI ENEO KUBWA KULIKO RWANDA, BURUNDI, MALAWI NA VISIWA VYA COMMORO. KWANINI SISI WANA KUSINI TUKUBALI KUNYANYASWA NA KUTENGWA KWA MDA MREFU? TUUNGANE NA KUDAI JAMUHURI YETU YA TANZANIA KUSINI MBONA SUDAN WAMEWEZA? TUMA SMS HII KWA WATU WENGI ZAIDI" mwisho wa kumnukuu.
Maswali ya kujiuliza. Ni kwanini tufikie huku? Serikali inachukua hatua gani kwa hili? Je kwanini sms kama hizi zinaruhusiwa kusambazwa? TCRA wapo wapi?
Naomba nimnukuu alivyoisoma hiyo sms na inavyosema ."KUANZIA JIWE LA MZUNGU LILILOPO KILWA MPAKA MSAMBATI HADI SONGEA NI ENEO KUBWA KULIKO RWANDA, BURUNDI, MALAWI NA VISIWA VYA COMMORO. KWANINI SISI WANA KUSINI TUKUBALI KUNYANYASWA NA KUTENGWA KWA MDA MREFU? TUUNGANE NA KUDAI JAMUHURI YETU YA TANZANIA KUSINI MBONA SUDAN WAMEWEZA? TUMA SMS HII KWA WATU WENGI ZAIDI" mwisho wa kumnukuu.
Maswali ya kujiuliza. Ni kwanini tufikie huku? Serikali inachukua hatua gani kwa hili? Je kwanini sms kama hizi zinaruhusiwa kusambazwa? TCRA wapo wapi?