Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,316
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums.
Ndugu zangu Watanzania eti;
Jamuhuri ya Afrika ya Kusini (SADC Super Power) walitusaidia wakati wa ajali ya MV Bukoba. Mbona tumewasahau katika janga hili la Mlima Kilimanjaro?
Sijataka kuongelea kuhusu Kenya kwa maana wadau wataanza kuhusisha hili suala na mambo ya utalii kwamba watalii wakiona moto Mount Kilimanjaro basi watakimbilia nchi jirani.
AJALI YA MV BUKOBA KWA UFUPI KIDOGO
=====
According to a report issued by the government’s probe commission, over 700 people perished while 114 others were lucky to survive the accident. The government was overwhelmed by the crisis and sought assistance from South Africa for concerted efforts to remove the bodies of those trapped in the sunken ship.
TANZANIA - SOUTH AFRICA RELATIONS IN A NUTSHELL
=====
Picha hapo juu ni Mh. Rais Dk. J.P Magufuli akiwa na Waziri wa mashauri ya kigeni Prof. Palamagamba Kabudi wakikabidhi vitabu vya kiswahili kwa Rais wa Jamuhuri ya Afrika ya Kusini Mh. Ramaphosa katika harakati ya kuhakikisha lugha hii tamu inakuwa na kuenea kwa haraka zaidi nje ya mipaka ya Tanzania na Afrika ya Mashariki.
AJALI YA MOTO MLIMA KILIMANJARO
=====
Wazima moto nchini Tanzania wanapambana kujaribu kuudhibiti moto unaouteketeza mlima mrefu zaidi barani Afrika, mlima Kilimanjaro. Kulingana na shirika la mbuga za kitaifa Tanzania TANAPA moto huo ulianza Jumapili.
Hapo Jumapili Shirika hilo la mbuga za kitaifa lilichapisha picha ambayo haionekani vizuri kwenye mtandao wa Twitter ikisema ni moto unaouteketeza mlima Kilimanjaro.
=====
Mbona safari hii tumewasahau ndugu zetu wa South Africa (in terms of asking for logistical support) katika janga hili la mlima Kilimanjaro?
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Uzi wa mwaka jana huu>>> Ajali ya moto msitu wa Amazon: Wataalam Wizara ya Maliasili, Jeshi la zimamoto wamekaa kimya tu mpaka sasa. Mahusiano na umma imekaa vipi hapa?
Ndugu zangu Watanzania eti;
Jamuhuri ya Afrika ya Kusini (SADC Super Power) walitusaidia wakati wa ajali ya MV Bukoba. Mbona tumewasahau katika janga hili la Mlima Kilimanjaro?
Sijataka kuongelea kuhusu Kenya kwa maana wadau wataanza kuhusisha hili suala na mambo ya utalii kwamba watalii wakiona moto Mount Kilimanjaro basi watakimbilia nchi jirani.
AJALI YA MV BUKOBA KWA UFUPI KIDOGO
=====
According to a report issued by the government’s probe commission, over 700 people perished while 114 others were lucky to survive the accident. The government was overwhelmed by the crisis and sought assistance from South Africa for concerted efforts to remove the bodies of those trapped in the sunken ship.
TANZANIA - SOUTH AFRICA RELATIONS IN A NUTSHELL
=====
Picha hapo juu ni Mh. Rais Dk. J.P Magufuli akiwa na Waziri wa mashauri ya kigeni Prof. Palamagamba Kabudi wakikabidhi vitabu vya kiswahili kwa Rais wa Jamuhuri ya Afrika ya Kusini Mh. Ramaphosa katika harakati ya kuhakikisha lugha hii tamu inakuwa na kuenea kwa haraka zaidi nje ya mipaka ya Tanzania na Afrika ya Mashariki.
AJALI YA MOTO MLIMA KILIMANJARO
=====
Wazima moto nchini Tanzania wanapambana kujaribu kuudhibiti moto unaouteketeza mlima mrefu zaidi barani Afrika, mlima Kilimanjaro. Kulingana na shirika la mbuga za kitaifa Tanzania TANAPA moto huo ulianza Jumapili.
Hapo Jumapili Shirika hilo la mbuga za kitaifa lilichapisha picha ambayo haionekani vizuri kwenye mtandao wa Twitter ikisema ni moto unaouteketeza mlima Kilimanjaro.
=====
Mbona safari hii tumewasahau ndugu zetu wa South Africa (in terms of asking for logistical support) katika janga hili la mlima Kilimanjaro?
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Uzi wa mwaka jana huu>>> Ajali ya moto msitu wa Amazon: Wataalam Wizara ya Maliasili, Jeshi la zimamoto wamekaa kimya tu mpaka sasa. Mahusiano na umma imekaa vipi hapa?