pakaywatek
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 4,636
- 6,261
Rais wa Gambia yahaya jammeh aliyeshindwa katika uchaguzi mwanzoni mwa mwezi huu amesisitiza kuwa hataachia ngazi na kuondoka madarakani.
Jammeh amesisitiza licha ya kushindwa na Adama Barrow hana mpango wa kuachia madaraka, pia kiongozi huyo amelaani vikali jumuia ya kiuchumi ya nchi za Afrika magharibi (ECOWAS) kwa kujaribu kumshinikiza kukabidhi madaraka kwa njia ya amani January 18 mwakani.
Amesema kuwa kamwe hilo halitatokea , "Mimi si muoga" haki yangu haiwezi kutishiwa na kukiukwa huu ndio msimamo wangu na hakuna mtu anaeweza kuninyima ushindi huu isipokua mwenyezi Mungu tu' alidai bwana jammeh ambae aliwahi kutangaza kutibu virusi vya ukimwi.
Note: bangi mbaya sana.
Jammeh amesisitiza licha ya kushindwa na Adama Barrow hana mpango wa kuachia madaraka, pia kiongozi huyo amelaani vikali jumuia ya kiuchumi ya nchi za Afrika magharibi (ECOWAS) kwa kujaribu kumshinikiza kukabidhi madaraka kwa njia ya amani January 18 mwakani.
Amesema kuwa kamwe hilo halitatokea , "Mimi si muoga" haki yangu haiwezi kutishiwa na kukiukwa huu ndio msimamo wangu na hakuna mtu anaeweza kuninyima ushindi huu isipokua mwenyezi Mungu tu' alidai bwana jammeh ambae aliwahi kutangaza kutibu virusi vya ukimwi.
Note: bangi mbaya sana.