Jammed seat belts kwenye ajali ya gari: Kufanya replacement ya mikanda used (kuweka ya mtumba), nahakiki vipi ubora wake?

kayanda01

JF-Expert Member
Feb 14, 2014
1,081
907
Salaam,

Toyota IST old model, ilipata ajali. Airbags zikablast. Pia front seat belts zilijam. Yaani airbags na mikanda vilifanya kazi zake ipasavyo.

Nini kifanyike ili kurejesha 'safety level' iliyokuwepo... Je, kureplace airbags & seat belts tu inatosha? ama kuna parts zingine zinahitaji replacement?

Airbags used (za mtumba) zilizopo kwa wauza spea, ni rahisi kuhakiki ubora wake kwa macho tu kwa kutazama kwamba hizi ni nzima.

Je kuhusu seat belts za mtumba, nihakiki vipi ubora wake? Inasemekana kuna magumashi yanafanyika kwenye jammed seatbelts, wabongo wanazifanyia usanii mikanda iliyopata ajali, kisha wanauza kama mtumba. Ikija kupata crash, mkanda haubani (ni useless).

Replacement ya seatbelts (kuweka hizi za mtumba), nihakiki vipi uzima/ubora wake?
 
Salaam,

Toyota IST old model, ilipata ajali. Airbags zikablast. Pia front seat belts zilijam. Yaani airbags na mikanda vilifanya kazi zake ipasavyo.

Nini kifanyike ili kurejesha 'safety level' iliyokuwepo... Je, kureplace airbags & seat belts tu inatosha? ama kuna parts zingine zinahitaji replacement?

Airbags used (za mtumba) zilizopo kwa wauza spea, ni rahisi kuhakiki ubora wake kwa macho tu kwa kutazama kwamba hizi ni nzima.

Je kuhusu seat belts za mtumba, nihakiki vipi ubora wake? Inasemekana kuna magumashi yanafanyika kwenye jammed seatbelts, wabongo wanazifanyia usanii mikanda iliyopata ajali, kisha wanauza kama mtumba. Ikija kupata crash, mkanda haubani (ni useless).

Replacement ya seatbelts (kuweka hizi za mtumba), nihakiki vipi uzima/ubora wake?
Airbags zinatakiwa zifanyiwe calibration kwa kifaa malumu. Usipofanya hivyo, zitakulipukia hata kwa kupita kwenye korongo tu.

Mara nyingi seatbelt ikijam, unaweza kukuta ni kutu, mchanga au vumbi tu. Dawa yake ni kufungua ile spring mechanism na kuisafisha; hakuna haja ya kuondoa belt yote.
 
Mkanda si unaweza ku utest mwenyewe kwa kuvuta kwanguvu? Lazima kama ni mzima utakwama.

Kuhusu replacement ya air bag lazima ununue mpya au ukanunua used kwenye magari yaliyochinjwa.

Kuna mtu aliniambia kuwa mikanda ya gari ni one use! Kwamba ikishafanya kazi yake (full reaction) kwenye ajali moja, ndo basi tena hiyo haifai, ni kuweka mingine.

Ila sasa inasemekana wabongo wana utalaamu wa kienyeji namna ya kurekebisha belts zilizojammishwa na ajali. (wanaondoa lock na springs gani sijuwi kwenye mashine ya belt). Kisha belt inaroll back & forth as normal, na ukiitest kwa kuvuta, belt inakwama as normal. Lakini kwenye impact ya ajali yenyewe, huo mkanda hautakuzuia!

Sasa huo ndiyo mtihani. Hii mikanda used inayouzwa na watu wa spea, nitajuaje kuwa ni mkanda ambao haujapata crash? au ni mkanda uliopata crash na ukafanyiwa manuva ya kibongo na kuwekwa sokoni?
 
Airbags zinatakiwa zifanyiwe calibration kwa kifaa malumu. Usipofanya hivyo, zitakulipukia hata kwa kupita kwenye korongo tu.

Mara nyingi seatbelt ikijam, unaweza kukuta ni kutu, mchanga au vumbi tu. Dawa yake ni kufungua ile spring mechanism na kuisafisha; hakuna haja ya kuondoa belt yote.

Ahsante sana mkuu.

Kuhusu airbag calibration, hizi diagnosis computer machine zina uwezo wa kufanya hiyo calibration?

Mkuu, mikanda ilikuwa mizima kabisa kabla ya ajali. It means belts zilijammishwa na ajali. Yaani belts zilifanya kazi yake kusudiwa wakati wa impact ya ajali... zilizuia watu kwenye ajali. So baada ya watu kuifungua mikanda na kushuka, baadaye mkanda mmoja (kwa dereva) ukawa umejamm (yaani mkanda wote umeroll back na ni mgumu sana hauvutiki kuja). Mkanda mwingine ule wa abiria, ukawa lose, yaani mkanda wote umevutika kuja nje, hauroll back.

So mikanda ilikuwa disfigured by the crash kwa taswira hiyo.

Je, katika taswira hiyo, bado urekebishaji wake ni the same kama ulivyoelekeza?

Pia, nilisoma mahali kwamba vehicle seat belts ni ONE USE! Kwamba ikishaexperience crash mara moja tu, basi haifai tena for reuse. If you reuse, you are in high risk during other crash. They will not tighten you in crash. Hili likoje?
 
Ahsante sana mkuu.

Kuhusu airbag calibration, hizi diagnosis computer machine zina uwezo wa kufanya hiyo calibration?

Mkuu, mikanda ilikuwa mizima kabisa kabla ya ajali. It means belts zilijammishwa na ajali. Yaani belts zilifanya kazi yake kusudiwa wakati wa impact ya ajali... zilizuia watu kwenye ajali. So baada ya watu kuifungua mikanda na kushuka, baadaye mkanda mmoja (kwa dereva) ukawa umejamm (yaani mkanda wote umeroll back na ni mgumu sana hauvutiki kuja). Mkanda mwingine ule wa abiria, ukawa lose, yaani mkanda wote umevutika kuja nje, hauroll back.

So mikanda ilikuwa disfigured by the crash kwa taswira hiyo.

Je, katika taswira hiyo, bado urekebishaji wake ni the same kama ulivyoelekeza?

Pia, nilisoma mahali kwamba vehicle seat belts ni ONE USE! Kwamba ikishaexperience crash mara moja tu, basi haifai tena for reuse. If you reuse, you are in high risk during other crash. They will not tighten you in crash. Hili likoje?
Inawezekana ajali ilikuwa kubwa sana kwa hiyo kuna ratchets kwenye retractor ya belt hiyo ilipinda. Unaweza kuondoa kubadili belt hiyo ila angalia kule kwenye buckle huwa kuna switch ya iliounganishwa na kiti kuwaza kujua kama mtu amekaa kwenye kiti na hajafunga mkanda. Hakikisha vyote viwili vinalewana. Retractor yoyote inafanya kazi tu kwani retractor haikuunganishwa na engine control, ila sensor ya kwenye seatbelt na ya kwenye kiti zimeunganishwa na engine control nani laizma uhakikishe umetumia zinazoelewana.

Kuhusu airbag calibration huwa haifanywi na sisi mafundi wa mtaani; sheria ya usalama wa barabarani inazuia. Kazi hiyo hufanywa na dealer ambaye ana vifaa maalumu kutoka kwa manufacturer. Halafu wakifanya hivyo, ni lazima waweke seal yao kuthibitisha kuwa wameifanya kazi hiyo kwa usahihi kwani ikitokea airbag hiyo ikalipuka lenyewe wakati mtu uko kwenye spidi ya juu, wao ndio watakuwa responsible.
 
Inawezekana ajali ilikuwa kubwa sana kwa hiyo kuna ratchets kwenye retractor ya belt hiyo ilipinda. Unaweza kuondoa kubadili belt hiyo ila angalia kule kwenye buckle huwa kuna switch ya iliounganishwa na kiti kuwaza kujua kama mtu amekaa kwenye kiti na hajafunga mlango. Hakikisha vyote viwili vinalewana. Retractor yoyote inafanya kazi tu kwani retractor haikuunganishwa na engine control, ila sensor ya kwenye seatbelt na ya kwenye kiti zimeunganishwa na engine control nani laizma uhakikishe umetumia zinazoelewana.

Kuhusu airbag calibration huwa haifanywi na sisi mafundi wa mtaani; sheria ya usalama wa barabarani inazuia. Kazi hiyo hufanywa na dealer ambaye ana vifaa maalumu kutoka kwa manufacturer. Halafu wakifanya hivyo, ni lazima waweke seal yao kuthibitisha kuwa wameifanya kazi hiyo kwa usahihi kwani ikitokea airbag hiyo ikalipuka lenyewe wakati mtu uko kwenye spidi ya juu, wao ndio watakuwa responsible.

Thanks mkuu kwa mchango wako murua.
 
Inawezekana ajali ilikuwa kubwa sana kwa hiyo kuna ratchets kwenye retractor ya belt hiyo ilipinda. Unaweza kuondoa kubadili belt hiyo ila angalia kule kwenye buckle huwa kuna switch ya iliounganishwa na kiti kuwaza kujua kama mtu amekaa kwenye kiti na hajafunga mlango. Hakikisha vyote viwili vinalewana. Retractor yoyote inafanya kazi tu kwani retractor haikuunganishwa na engine control, ila sensor ya kwenye seatbelt na ya kwenye kiti zimeunganishwa na engine control nani laizma uhakikishe umetumia zinazoelewana.

Kuhusu airbag calibration huwa haifanywi na sisi mafundi wa mtaani; sheria ya usalama wa barabarani inazuia. Kazi hiyo hufanywa na dealer ambaye ana vifaa maalumu kutoka kwa manufacturer. Halafu wakifanya hivyo, ni lazima waweke seal yao kuthibitisha kuwa wameifanya kazi hiyo kwa usahihi kwani ikitokea airbag hiyo ikalipuka lenyewe wakati mtu uko kwenye spidi ya juu, wao ndio watakuwa responsible.

Nimeelewa vyema sana na nitazingatia
 
Salaam,

Toyota IST old model, ilipata ajali. Airbags zikablast. Pia front seat belts zilijam. Yaani airbags na mikanda vilifanya kazi zake ipasavyo.

Nini kifanyike ili kurejesha 'safety level' iliyokuwepo... Je, kureplace airbags & seat belts tu inatosha? ama kuna parts zingine zinahitaji replacement?

Airbags used (za mtumba) zilizopo kwa wauza spea, ni rahisi kuhakiki ubora wake kwa macho tu kwa kutazama kwamba hizi ni nzima.

Je kuhusu seat belts za mtumba, nihakiki vipi ubora wake? Inasemekana kuna magumashi yanafanyika kwenye jammed seatbelts, wabongo wanazifanyia usanii mikanda iliyopata ajali, kisha wanauza kama mtumba. Ikija kupata crash, mkanda haubani (ni useless).

Replacement ya seatbelts (kuweka hizi za mtumba), nihakiki vipi uzima/ubora wake?


Kama ni IST

Badili Airbag zote zilizo deploy

Badili seat belt zote zilizokuwa zinatumika.

Badili Seat belt pretensioner zote.

Ukimaliza hapo nenda kafanye diagnosis uone nini kimebakia.

Au unaweza kuanzia kufanya diagnosis ukapata list ya vitu vyote vya kununua. Japo hivyo nilivyotaja hapo juu haviwezi salimika.

Hivo tu.

Af baada ya marekebisho yote kufanya reset ni muhimu.
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom