Nyikanavome
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 484
- 179
Nilikuwa nikiingia jamiiforums kwa simu yangu ilikuwa inaipata moja kwa moja lakini wakati ule wa uchaguzi mkuu ambapo trafic ilikuwa kubwa sana ilipotea hewani. Kwa sasa inabidi nichague PC mode ya jamiiforums ili niweze kuperuzi kwenye simu yangu.
Hili ni tatizo langu tu au kuna wengine linawakuta?
Hili ni tatizo langu tu au kuna wengine linawakuta?