MAPITO Mwanza
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 3,689
- 5,013
Tujipongeze sote Kwani jf ni sisi na sisi ndio jf
mkuu 900 Inapendeza zaidi achana na hilo tutusa la Lumumba litakuumiza kichwa. Hilo ni moja ya misukule wanaotamani JF ife hata leo ili waendelee kutafuna vizuri rasilimali za taifa bila kuhojiwa. Mijitu mingine inaishi kwa kuwa ni dhambi kuua. Inaudhi sana I see!Non sense! mehangaika na Melo wa watu kutunyamazisha humu jf lakini wapi,meshindwa kuwapata wana jf kwa sababu uwezo wenu wa kuwapata ulifika mwisho wa kunukuu ikabidi muhangaike na Melo wa watu huku members tukichana ukweli life kwa maovu na dhuluma inayofanywa na serikali hii ya awamu ya tano chini ya ccm ovu
Mmh.. Naomba niseme kweli ya Mungu mimi ni mlokole SIWAJUIMshana Jr Unawajua ...na baadhi ya chekechea wapya humu
Wewe Ban tu !! teh teh tehHongera JF.
Mods acheni ku ban watu kwa kutumia haki zao za kikatiba kusema ukweli kama "Magufuli is a country bumpkin".
Mkifanya hivyo, tuzo zote hizi zitakuwa hazina maana.
Mimi nishajiban mwenyewe, siitimizi tu ban yangu, kwa hiyo hakuna anayeweza kunipa ban.Wewe Ban tu !! teh teh teh
Hingera sana viongozi na mamodereta wote wa JF, wanachama wote wa JF pamoja na Kiranga wa JF
Mimi nishajiban mwenyewe, siitimizi tu ban yangu, kwa hiyo hakuna anayeweza kunipa ban.
Mtu akinipa ban atakuwa ananisaidia kuitimiza ban yangu tu.
You can't kill me, I was born dead - Big L
Anzeni na Kigogo2014 kwanza msitishe watu JF.Wale wote wanaofikiri freedom of speech ni njia ya kuja hapa JF na kukashifu wenzao waache mara moja upuuzi wao. JF haikuanzishwa ili kutumiwa na kikundi chochote kuharibu taswira ya Tanzania. Nafahamu wapo wale ambao wanafikiria kwamba hapa ndipo mahali pa kujificha na kuchafua wenzao, kumbukeni Serikali ina mkono mrefu, mtajaribu kujificha lakini wahenga walisema ''za mwizi 40'' haijalishi upo USA au Scandinavian countries.
usingetanguliza Pre- MMh na kumalizia na SIWAJUI ningekubaliana na sentensi yako.Manake naona umeamua uwape upande wa heshima wasiyo stahiki ukijua kabisa kuna makinda ya ndege yaliosalia kupiga kelele nyingiii zisizo na maana.Na hata maana ile ya Jukwaa enzi zile watu Watu tunapalulana humu kwa hoja nzito nzito na zenye ushawishi kuliko sasa kupinga ovyo kutukana wengine humu ovyo ovyo. Hata huyo Max haoni sababau ya kuwa moderator makini wa kuhakikisha lugha za matusi hazina nafasi na kudhibiti matumizi mabaya ya lugha ya majadiliano kwa kutishia kuwafungia wenye nia mbaya ya kuchafua Stage.Mmh.. Naomba niseme kweli ya Mungu mimi ni mlokole SIWAJUI