battawi
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 2,672
- 2,539
watendao haki
Utawala wetu unajisifu na unasifiwa kwa utendaji haki kwa kadiri ya uwezo na ufahamu wao,lakini siku zote shilgi ina upande iliolalia ambao huwa hauonekani, wana habari mara nyingi huzungumzia kule kulikolalia shilingi ambako wengi huwa hawaoni kwa kutazama tuu bila ya kupembua,hapo ndo watawala huona wameguswa,badala ya kujirekebisha au kukiri udhaifu na kujisahihisha ,wao wanageuka mbogo na kuanza mapambano na jeshi lisilo na silaha wala nguvu,Wanahabari nguvu yao ni kalamu na kamera tuuu
".WATAWALA WETU JIREKEBISHENI,NINYI NI BINADAMU HAMUEPUKI MAKOSA,ONDOENI VIKWAZO HII NI NCHI YETU SOTETUME WAPA DHAMANA YA UONGOZI KWA MUDA TUU SIO HATI MILIKI YA
Utawala wetu unajisifu na unasifiwa kwa utendaji haki kwa kadiri ya uwezo na ufahamu wao,lakini siku zote shilgi ina upande iliolalia ambao huwa hauonekani, wana habari mara nyingi huzungumzia kule kulikolalia shilingi ambako wengi huwa hawaoni kwa kutazama tuu bila ya kupembua,hapo ndo watawala huona wameguswa,badala ya kujirekebisha au kukiri udhaifu na kujisahihisha ,wao wanageuka mbogo na kuanza mapambano na jeshi lisilo na silaha wala nguvu,Wanahabari nguvu yao ni kalamu na kamera tuuu
".WATAWALA WETU JIREKEBISHENI,NINYI NI BINADAMU HAMUEPUKI MAKOSA,ONDOENI VIKWAZO HII NI NCHI YETU SOTETUME WAPA DHAMANA YA UONGOZI KWA MUDA TUU SIO HATI MILIKI YA