Niko rindoni napigwa baridi kinyambisiKikubwa uhai, wengine wanaishi na sisi tuna survive
Niko rindoni napigwa baridi kinyambisiKikubwa uhai, wengine wanaishi na sisi tuna survive
Kuna jilani yangu naona anapembua maharagwe saa hizi na kuchanja kuni04:14 nakabizi lindo
hahahhaahhaahKuna jilani yangu naona anapembua maharagwe saa hizi na kuchanja kuni
Niko hapaNani yupo zamu mida hii
Pole sana mwananrindoMajira ya saa 5:28:07 nilipokea simu kutoka kwa sister yangu juu ya taarifa ya msiba wa Bibi yetu mpendwa (Bibi mzaa Baba).
Kwa sasa usingizi umekata, Najipanga kuwapa wazee taarifa mapema asubuhi, wakipata taarifa usiku huu tunaweza kuzua mengine.
Bibi alianza kuumwa zaidi ya wiki 2 zilizopita na alikuwa kwenye mashine ya Oxgen takriban siku15.
Alikuwa amelazwa Hospital ya Mloganzila.
Bilashaka atasafirishwa na kuzikwa Kirua Vunjo Moshi.
Pole mkuu inna lillahi wa ina ilahi rajiunMajira ya saa 5:28:07 nilipokea simu kutoka kwa sister yangu juu ya taarifa ya msiba wa Bibi yetu mpendwa (Bibi mzaa Baba).
Kwa sasa usingizi umekata, Najipanga kuwapa wazee taarifa mapema asubuhi, wakipata taarifa usiku huu tunaweza kuzua mengine.
Bibi alianza kuumwa zaidi ya wiki 2 zilizopita na alikuwa kwenye mashine ya Oxgen takriban siku15.
Alikuwa amelazwa Hospital ya Mloganzila.
Bilashaka atasafirishwa na kuzikwa Kirua Vunjo Moshi.
POLENI SANA WOTE MNAOHUSIKA NA MSIBA HUU MKUBWA. MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA AWAPE NGUVU NA STAHAMALA KATIKA KIPINDI HIKI CHA MAJONZI.Majira ya saa 5:28:07 nilipokea simu kutoka kwa sister yangu juu ya taarifa ya msiba wa Bibi yetu mpendwa (Bibi mzaa Baba).
Kwa sasa usingizi umekata, Najipanga kuwapa wazee taarifa mapema asubuhi, wakipata taarifa usiku huu tunaweza kuzua mengine.
Bibi alianza kuumwa zaidi ya wiki 2 zilizopita na alikuwa kwenye mashine ya Oxgen takriban siku15.
Alikuwa amelazwa Hospital ya Mloganzila.
Bilashaka atasafirishwa na kuzikwa Kirua Vunjo Moshi.
Asante ndugu.Pole sana mwananrindo
AsantePOLENI SANA WOTE MNAOHUSIKA NA MSIBA HUU MKUBWA. MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA AWAPE NGUVU NA STAHAMALA KATIKA KIPINDI HIKI CHA MAJONZI.