Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 1,780
- 3,679
0234
Shukrani sana kiongozi. Nipo hapa na mundu wanguKaribu jamvini boss
Lindo linafungwa saa 06:0005:30
Nafunga lindo likiwa salama salimini.
GM
Chakorii
Madili ndo mpango mzima...🤪🤪😜Lindo linafungwa saa 06:00
Unawahi sana kufunga mbona.. au una panga ma dili utupige 😃😃😃
06:00 AM 😃😃😃. Ndio lindo linafungwaMadili ndo mpango mzima...🤪🤪😜
Kwani linatakiwa lifungwe saa ngapi??
Kumbeee...hii taarifa umeitoa kwa kama mda mkuu au umekariri tu06:00 AM 😃😃😃. Ndio lindo linafungwa
Hii kama commander mfunga mageti.. ambaye nime staafu.. baada ya unyumba wa aflajiri kuwa unaingilia kazi na kushindwa kuja kufunga lindo na kukagua 😀😀😀😀 mali na watu kama vipo salamaKumbeee...hii taarifa umeitoa kwa kama mda mkuu au umekariri tu
Sawa commander mstaafuHii kama commander mfunga mageti.. ambaye nime staafu.. baada ya unyumba wa aflajiri kuwa unaingilia kazi na kushindwa kuja kufunga lindo na kukagua 😀😀😀😀 mali na watu kama vipo salama