Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,499
- 86,037
Hahahaha ila wanakera sana sanaHahaha wanataka leo ulitumikie lindo vizuri bila kusinzia.
Safi sana vichombezo hivyo...
Hahahaha ila wanakera sana sanaHahaha wanataka leo ulitumikie lindo vizuri bila kusinzia.
Safi sana vichombezo hivyo...
Vipi umefanikiwa kutoka kwa jirani? Naona waliamua wakubali yaishe hahahaWatakua hawajakuona siku nyingi hao
Sijui kwanini aliachaNasikia nae kapewa nafasi ya ujumbe, mkaribishe mamii.....
Hakaribishwi hadi wajumbe wapige kura ya ndio au hapanaNasikia nae kapewa nafasi ya ujumbe, mkaribishe mamii.....
Mimi huwa nina strategy nzuri sana, wakijifanya kualikana natafuta earphones navaa masikioni, nafungulia ninachotaka kusikiliza nawaachia mwili wajitafunie wakichoka wanaenda zao.Hahahaha ila wanakera sana sana
Hahaha tunamdeku tu kama waziri wa maji na umwagiliaji wa Sudan anavyomdeku hapo.Sijui kwanini aliacha
Hakaribishwi hadi wajumbe wapige kura ya ndio au hapana
Ilikua ngumu dah, nilitoka kwa mguu kama nakuja kununua airtime upande wa pili kumbe ndio safariVipi umefanikiwa kutoka kwa jirani? Naona waliamua wakubali yaishe hahaha
Ukinywa konyagi nasikia hawakufuati hata mmojaMimi huwa nina strategy nzuri sana, wakijifanya kualikana natafuta earphones navaa masikioni, nafungulia ninachotaka kusikiliza nawaachia mwili wajitafunie wakichoka wanaenda zao.
Kuna imani kuwa ukiwa na damu tamu mbu wanakufata sana, nami kweli kwa siku nakunywa soda zaidi ya sita kwahiyo naamini wanafata ule utamu wa soda kwenye damu yangu.
Alafu kwa nini watu wenye blood group O wanashambuliwa sana na mbu?Mimi huwa nina strategy nzuri sana, wakijifanya kualikana natafuta earphones navaa masikioni, nafungulia ninachotaka kusikiliza nawaachia mwili wajitafunie wakichoka wanaenda zao.
Kuna imani kuwa ukiwa na damu tamu mbu wanakufata sana, nami kweli kwa siku nakunywa soda zaidi ya sita kwahiyo naamini wanafata ule utamu wa soda kwenye damu yangu.
Hahaha hukutaka kubeba chochote.? Yaani kama nakuona vile ulivyokuwa umejawa na mashaka wasije wakakurudishaIlikua ngumu dah, nilitoka kwa mguu kama nakuja kununua airtime upande wa pili kumbe ndio safari
Weeee wanaoongoza kuliwa na mbu walevi.Ukinywa konyagi nasikia hawakufuati hata mmoja
Group O ni wakarimu na watu wa kujitolea naturally, kwahiyo hata kulisha mbu huwa hawana shida ndio maana mbu wakishamgundua tu group O wala hawahangaiki na wachoyo wengine na magroup yao tofauti na O.Alafu kwa nini watu wenye blood group O wanashambuliwa sana na mbu?
Yaani utakuta mpo sehemu na watu wengine lakini mtu kwenye damu group O ndio akawa analalamika mbu kumtafuna.
Hii nimeixperience mwenyewe na si mara moja
Haha haya mkuu nimekupata. Tuko pamojaGroup O ni wakarimu na watu wa kujitolea naturally, kwahiyo hata kulisha mbu huwa hawana shida ndio maana mbu wakishamgundua tu group O wala hawahangaiki na wachoyo wengine na magroup yao tofauti na O.
Mimi pia nina damu group O+
Hili sina uhakika nalo, ngoja wenye fani yao wakija watatufungua macho.Ukinywa konyagi nasikia hawakufuati hata mmoja
Geti lishafungwa, tukutane mida ya kawaidaNimewamiss Sana humu....Majukumu jamani,unisamehe.
Mwenye aliyewekewa hii akuye huku yuluu23:32
Wahenga yeyeeeeee😊😊Mwenye aliyewekewa hii akuye huku yuluu