Nipo mkuu, ila kwa sababu kadhaa kwa sasa nakuwa msomaji zaidi ila tupo pamoja mkuu.
Unaendeleaje na mafunzo ya keyboard mkuu?Nipo mkuu, ila kwa sababu kadhaa kwa sasa nakuwa msomaji zaidi ila tupo pamoja mkuu.
Mambo ya wakubwa ndiyo yapi hayo?
๐๐๐๐๐๐
Leo Niko shinyanga, wadau sina usingizi, sina kampani, sina bangi, sina pombe, sina hata corona
Bado sijapata mkufunzi ila nakomaa ili siku nikipata mtu wa kunifundisha iwe rahisi zaidi.Unaendeleaje na mafunzo ya keyboard mkuu?
Ulishapata mtu wa kukufundisha?
Najidekeza, najitamba kwakeee
Ushakisoma?Usiku utapokwisha