Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,822
Ningekuletea na gazeti ila naogopa tutaharibu zaidi. Wapi shangazi?
ssshhhhhhh...amelala.... Mwali ulikuwa wapi enzi hizo?:A S-coffee:lol
Hapo underlined umenikumbusha kitu
Ningekuletea na gazeti ila naogopa tutaharibu zaidi. Wapi shangazi?
Mi niseme tu ukweli Jamboforums nimeiskia tu ila sikuwahi kusoma hata thread moja. Nilianza kusoma JF wakati wa uchaguzi, baada ya uchaguzi nikapoteza interest, only kuja tena hapa november tu.ssshhhhhhh...amelala.... Mwali ulikuwa wapi enzi hizo?:A S-coffee:lol
Mi niseme tu ukweli Jamboforums nimeiskia tu ila sikuwahi kusoma hata thread moja. Nilianza kusoma JF wakati wa uchaguzi, baada ya uchaguzi nikapoteza interest, only kuja tena hapa november tu.
Sorry kwa kukuamsha Anti, sim nililaza kwenye charge.Darling Kaizer na Mwali mmeniamsha..... Narudi usingizini, naomba mtoke hapa mkaendelee kunywa chai, nimewawekea mazingira mazuri Chit Chat lounge mchague tu wenyewe....lol....
Mwali hakikisha ankal anamaliza chai.... na lile gazeti mpatie; na coz nina usingizi bado check simu yake kama ina charge mchomekee...
kuna kitu ningesema ila naona nisiseme katika hii thread...Hivi hommie, shem na Mwali huwa hamlalagi? Khaa!
stuka hommie.....Hivi hommie, shem na Mwali huwa hamlalagi? Khaa!
kuna kitu ningesema ila naona nisiseme katika hii thread...
this is awesome aiseee.....naona moja ya id zangu za zamani....Hiii (chini) ilichukuliwa Januari 13, 2007
Hiii (chini) ilichukuliwa Oktoba 12, 2007
Hiii (chini) ilichukuliwa Januari 13, 2007
Hiii (chini) ilichukuliwa Oktoba 12, 2007
Daaah, Usiyeonekana umenikumbusha mbaaaaali na baadhi ya majina niliyoyaona hapo juu, enzi hizo za kina:-
Field Marshall ES
Game Theory
Bubu Ataka Kusema
Pundit
Watuaaaaaache Jamii Forums watuache.