Tai Ngwilizi
JF-Expert Member
- Apr 20, 2010
- 781
- 210
Inakumbushia mbali sana!! na kule business times enzi za uchaguzi wa 2005 nako vipi au hatuna uhusiano nako. topic za kule zilikuwa moto wa kuotea mbali nakumbuka kina Mkandara, Abu ngabu (na "rafiki" yake mhindi), mzee ES etc etc
bado na miss enzi hizo, siku moja ghafla nika kuta imesombwa na mafuriko.....
bado na miss enzi hizo, siku moja ghafla nika kuta imesombwa na mafuriko.....