JamiiForums: Tulikotoka, tulipo na tunakoelekea (hatua kwa hatua)

Evolution of Jamii forum toka nilipojoin 2008 mpka sasa!
It realy a great step forward,apo cha msingi ni kuendelea kuichangia tuu!Mwanzo wa mwaka huu huwa unakuwaga na zengwe sana ila come april angalau wekundu kadhaa lazima nidondoshe apa JF maana to me its more than being useful
 
Mimi nilikuwa kwa ID hii sijabadilika.

Enzi zile lakini ilikuwa siyo moto mkali kama sasa. Ni chuki zao tu waliamua kupiga PIN. Miaka ile bado watu wengi tulikuwa na harufu za Maji ya Bendera; na mara chache sana ilikuwa kuikosoa Serikali na ndio maana walipoona kukosoa kunaanza tu wakaamua kuipiga PIN.

lakini enzi hizi moto mbele hakuna kulala.

Nakumbuka kipindi kile baada ya kupigwa PIN mimi binafsi ndio nilijiuzulu hata kufungua jamvi hili nikapotea na kuibuka tena sasa.

Ninafarijika sana kwa michango ya sasa na habari mpya zinazowekwa humu kila wakati.

KEEP IT UP JF


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Mi nna shots kadhaa pia kabla Invisible hajachakachua na kuleta muonekano huu mpya. Ngoja nipekue. Be back soon. By the way nawapongeza jamaa kwa kazi nzuri
 
Hivi najiuliza niifahamuje JF? Tangu 2006 karibu kila siku natinga humu! Nimewahi kujua vingi sana kupitia JF
 
Mkuu invisible ebu tembelea hii STORMFRONT AU STORMFRONT.org hawa jamaa wana majukwaa mengi,pia tunafanana kwa kila kitu,ila mambo mengine wametuzidi..twaweza kupata kitu huko..
Viva Jf..nikiikosa wiki kila mtu nyumbani anajua kuna kitu namisi..
 
Duh,

Mmetoka mbali, hongereni sana waanzilishi wa wazo hili. Imetoka kuwa kijiwe cha watu mamia kuwa jukwaa la kuogopwa na wanasiasa lenye wajumbe wa kila kada, wabunge, mawaziri, watu wa usalama, dare I say, na mhe Rais lazima anapita kujua watu wake wanasema vipi!
 
Usione vyaelea; vimeundwa. Mimi bado nina T-Shirt yangu ya Jambo Forums ambayo huvaa kila ninapokwenda piknik nikiwa na timu yangu. Imeshatambuliwa hapa nyumbani kwangu kama hiyo ni uniform yangu maalum kwa ajili piknik na weekend.
 
Kumbe nami ni miongoni mwa members 3000 wa mwanzo wa JF.

Naomba uni PM unipe maelekezo ya namna ya kuchangia ili hii forum izidi kukua.
 
viva JF...nami kumbe mkongwe enzi hizo niko chuoni Nairobi..naingia humu ili tu nipate mabongofleva na mimi njikumbushie home!! good old days..sijui iliendaga wapi ile link..
fungua account nyingi sana mimi...ila mwishoni nikaamua kutulia na hii, like a mature man!lol
Good Job nkubwa..kip t up!
 
toka jamboforums nilikuwepo sema nilisahau funguo wa kuingilia,nikasepa
 
Jamani wanajf ofisini kwetu kuna kitu huwa tunaita tea talk na lunch talk na kesho ndo zamu yangu na nimependelea nitoe speech yangu kuhusiana na mitandao ya kijamii hasa fb na jf. So mwenye info zozote kuhusu jf ikiwemo historia, uendeshwaji na mengineyo yanayoweza kuwepo kwenye speech naomba anisaidieni tafadhali ili nikaitangaze jf kwa wale wasioijua.
Mods nahitaji michango yenu kwa sana.
 
mwanzo ilikuwa Jambo Forum...sasa ni Jamii Forum.....na ilianza March 2006.....
we waambie waje JF......watapata zaidi ya historia.......
waambie kuna jukwaa la MMU na Chit Chat....watayapenda.....
 
mwanzo ilikuwa Jambo Forum...sasa ni Jamii Forum.....na ilianza March 2006.....
we waambie waje JF......watapata zaidi ya historia.......
waambie kuna jukwaa la MMU na Chit Chat....watayapenda.....

na waambie kuwa haina uhusiano na chama chohote iwe cha siasa au cha kiraia....
..MMU na Chit Chat..ndio majukwaa bora zaidi....
 
Ina members approximately wangap? Na per day/week/month/year kuna new members wangapi wanajiunga?
 
Back
Top Bottom