green29
JF-Expert Member
- Jul 4, 2007
- 311
- 41
Wanajamii wenzangu, natoa hili wazo kama mtanzania.
Wapo wenzetu wengi wanaoishi kwenye mazingira magumu na wanasali na kuomba ili siku waamke wakute wamebahatika kujikuta wako shule/chuo wanapata elimu. Nahisi Jamiiforums, ikiwa si chama cha siasa bali ni Kusanyiko la Watanzania wanaoipenda Tanzania, inayo nafasi kubwa kuchangia katika kutatua matatizo kama haya kwa namna nyingi ikiwa ni pamoja na kusaidia kwa vitendo(kuonyesha mfano) au kwa kupiga domo.
Nashauri tuanzishe Scholarship ambayo mtanzania yoyote (mwenye sifa tutakazoamua hapa)anaweza kuomba na kuweza kwenda shule kwa jasho la watanzania. Kwa mfano mayatiima, walemavu wenye nia na "proven exceptional skills" lakini wamekosa economic means.
Chanzo cha pesa ni michango yetu.
Naamini hii pia itasaidia kuitangaza JAMIIFORUMS kama mkombozi wa mtanzania
Wapo wenzetu wengi wanaoishi kwenye mazingira magumu na wanasali na kuomba ili siku waamke wakute wamebahatika kujikuta wako shule/chuo wanapata elimu. Nahisi Jamiiforums, ikiwa si chama cha siasa bali ni Kusanyiko la Watanzania wanaoipenda Tanzania, inayo nafasi kubwa kuchangia katika kutatua matatizo kama haya kwa namna nyingi ikiwa ni pamoja na kusaidia kwa vitendo(kuonyesha mfano) au kwa kupiga domo.
Nashauri tuanzishe Scholarship ambayo mtanzania yoyote (mwenye sifa tutakazoamua hapa)anaweza kuomba na kuweza kwenda shule kwa jasho la watanzania. Kwa mfano mayatiima, walemavu wenye nia na "proven exceptional skills" lakini wamekosa economic means.
Chanzo cha pesa ni michango yetu.
Naamini hii pia itasaidia kuitangaza JAMIIFORUMS kama mkombozi wa mtanzania