pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,344
Habari hii niliiona mwaka jana. Kwa mtazamo wangu, kuna wanaotambua kazi nzuri inayofanywa na jukwaa hili la JF. Cha kushangaza ni kwamba hata sio WanaE.A, wala hata si wanajamvi hapa JF. Wakuu, Jukumu letu kuu kama 'members' wa Jamiiforums 'fraternity' si kuchangia tu! Bali pia nikumpa support @Maxence Mello, ili jukwaa hili liendelee kupaa na kutumika na wote wakenya kwa watanzania, kama kioo cha jamii.SUSPENDED REALITY; Tanzania's anti-corruption government is stifling the 'Swahili Wikileaks'!