JamiiForums: Tanzania's leader in Local Digital Media

Voda wanajua traffic generates business, na kwa sasa JF kwa traffic katika sites za kibongo iko juu sana.

Kwa hiyo hata uki dispute from a political point of view, content etc, itakuwa vigumu ku dispute JF is a leader from a traffic point of view.
 
Nawakubali sana designers, administrators, developers na wahusika wengine wote wa JF kwa kazi nzuri sana, tumezoea kuona websites nzuri zenye vitu vingi ni za nje tu. Lakini pia hata ku-develop applications kwa Smartphones na Tabs, kwa kwetu TZ naamini ni kitu kikubwa. Naamini hata server yao ni kubwa, maana hii site hakika inabeba mzigo mkubwa. Hongera zao sana wote kwa kazi nzuri sana.
 
Vodacom wameamua kuusema ukweli ambao wengi wamekuwa wakishindwa kuukiri hadharani.
Ni kweli kwamba hakuna "social media" "inayokimbiza" hapa bongo kama JF.

Ukifanya vizuri unasifiwa, ukiboronga unakula za uso papo hapo!! Kuna baadhi ya wakongwe wa JF wamejiengua na kuhamia fb kwa madai mbalimbali. Mara waseme kwamba JF imeshuka hadhi, mara waseme imezidi matusi, lakini baada ya muda mfupi unawakuta wamerudi, wengine wanachungulia kama guests na wengine wanakuja na Id mpya.

Chezea JF wewe!!??

Mkuu Mwita Maranya, akili ni nywele . . . .

JF imekuwa Mwiba siku zote kwa Vodacom kwa sababu ambazo ziko wazi hadi kuna watu wengi walitupa SIMM card za Voda . . . . Sasa iweje leo mbaya wako anakupongeza?

It is interesting yule jamaa anayekutukana kila siku huyo huyo unaenda kwa watu ukiwaambia Jamaa anayenitukana ni mtu mzuri. Unless kama unataka kumfunga mdomo kwa njia za kistaarabu of which Vodacom wanaelekea kufanikiwa kwa "likes" wanazopewa hapa.

Respect sana.

QED
 
Last edited by a moderator:
Sasa lakn si walipaswa kuja hapa JF na kutoa hiyo appreciation rasmi tena kwa kuwaita waandishi wa habari kama wanavofanya vitu vingine?iweje waende facebook kinyemela?au Invisible and the team walijulishwa hili??mie naona kuna utata hapa.Kama wana recognize mchango wa Jf waende public ki-local zaidi...
 
Last edited by a moderator:
Paw hata kwa bilioni simtaki....kitu Invisible bwana akikuangalia tu ....unazimia hapohapo...
Endelea kuamini hiyo hiyo mama, manake nahisi unasaka u-gold member wa bure. Invisible, sasa Naona stress za mafisadi utazisahau kwa hii totoz, karibu Kwenye stress za kuchunwa:spy:
 
Last edited by a moderator:
Vodacom wajanja wanajua jinsi JF inavyopata viewing figure ya ajabu frm all over the world.. Janja yao tu hao
 
Inabidi tusherehekee. Lini JF inakabidhiwa nishani yake ili tuungane kuipokea kisha tule na kunywa huku tukiruka ruka kama ndani kwa kushangilia? Mkuu Invisible tunasherehekeaje?

Mimi: Idumu JF
Wote: Idumu

Mimi: Zidumu fikira za mwanzilishi wa JF
Wote: Zidumu!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom