Speaker
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 6,324
- 2,238
Speaker realy uko hapa kila siku? nilidhani umebanwa na masomo!!
Nipo humu kila siku,masomo nime maliza week chache zilizo pita.
Saivi naandaa Ada ya mtoto wangu,maana imesha fika milioni 2 kwa term 1 out of 3 haha.
Hivi kumbe hadi u-premium member wangu umesha expire? lol
Last edited by a moderator: