ahahaaa alafu kanitosa jamani.. nitamsubiri hadi milele
labda hii move itamfanya Mbunge Juma Nkamia alau aelewe yuko nyuma ya 'ukisasa' kiasi ganiJF is now irresistible! Walijifanya kuipotezea/kuibania mwanzo, lakini sasa wamepata akili!
mbona tunajuana sana humu?Big up JF...sijui lini tutajuana face to face tucheke vizuri...inshallaha baada ya 2025 labda maana mhhh!
Great...:drum::tea::typing::violin::israel:
mwache@Rejao wangu bwana...hapa hakuna cha ccm wala chadema ni full celebrationUpo? U hali gani?
Vodacom wameamua kuusema ukweli ambao wengi wamekuwa wakishindwa kuukiri hadharani.
Ni kweli kwamba hakuna "social media" yeneye "kukimbiza" kama JF.
Ukifanya vizuri unasifiwa, ukiboronga unakula za uso papo hapo!! Kuna baadhi ya wakongwe wa JF wamejiengua na kuhamia fb kwa madai mbalimbali. Mara waseme kwamba JF imeshuka hadhi, mara waseme imezidi matusi, lakini baada ya muda mfupi unawakuta wamerudi, wengine wanachungulia kama guests na wengine wanakuja na Id mpya.
Chezea JF wewe!!??
Haha,ume nifanya ni login na ku-comment.
Sio kwamba tuna kimbia JF na kuwa kama guests,ila
tunapenda kusoma zaidi kuliko kuchangia sometimes,.....
Ukimya una saidia sometimes.