Babu Kijiwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2010
- 4,762
- 4,576
Vyombo karibu vyote vya habari hapa South Africa vimetawaliwa na wimbo wa mwanadada Sho Madjozi - John Cena, japo wimbo ulitoka mwezi wa 8 ila wiki hii umeshika kasi sana kwenye media na kwenye nyumba za starehe.
JamiiForums mnaonaje mkimpa huyu dada credit kwa kuuweka wimbo wake juu hata siku 1 tu au hamfurahi lugha ya kiswahili kwenda viral?
JF on Instagram:
JamiiForums mnaonaje mkimpa huyu dada credit kwa kuuweka wimbo wake juu hata siku 1 tu au hamfurahi lugha ya kiswahili kwenda viral?
JF on Instagram: