JamiiForums ni kiboko, imenipa kazi mwenzenu

Vizuri kijana anza kutamba baadae utatembea
ingia kwenye life la kujitegemea
 
huo mshahara ni pasua kichwa kabisa. Ila kama huna mbadala kwa sasa bora ukajishikize
 
Ndio kwanza umegraduate how much do u want? Sikiliza ikiwezekana ktk huu mshahara wako fungua akaunti aina ya saving ambayo utajiwekea akiba angalau 50,000/= kila mwezi...then mambo yako mengine yote yaishie kwenye 330,000/=, hiyo 50,000/= unayo save itakuja kukutoa baadae...Pia endelea kuua winga hapohapo ulipo kwa sasa( unatakiwa uwe a little bit selfish kwa muda flani hivi) japo kwa miezi 6mpaka 1year then utakua upo kwenye position ya kuhama.

Uingiapo kazini hakikisha unapiga mzigo kiuhakika ujue kazi zote kwa muda mfupi, then utakuwa unajiamini na kazi yako na unagood command ya kutafuta kazi koz utakua tayari una uzoefu na unaweza ku demand competetive salary on the contrary, do u have any other option? ingelikua ndio mimi i have just graduated sina uzoefu, hata bila salary nafanya kazi let alone hizo 380,000/=

Kuna watu wanakaa mpaka miaka 4 na zaid bila kupata kazi mpaka wanaamua kujiajiri so u have all the way ahead of u...No matter how good the employer can be, the future lies within urself only(Job Holder)... take care.
 
Dogo salary gelesha tu but kwa bongo asilimia karibia tisini hawaishi kwa kutegemea salary! Ingia kwene job then utaamini maneno yangu, kuna overtime, kuna safari, kuna sijui bonus, kuna nauli, kuna communication and health cost na sometimes kuna house allowance! Umenisoma vizuri dogo? Sio kwamba vyote vitakuepo ila baadhi yake au hata deal zipo LAKINI pia ni rahisi kupata kazi ukiwa na kazi!!!!!!!
 
TZS 380,000/1600= 237.5 USD. Usd 237.5/30days = 7.916 per day. Kipato cha mtanzania wa kawaida (japo neno hili silipendi sana) ni chini ya dola moja kwa siku.

Kijana, usichezee kazi chezea mshahara! chukua kazi hizoooo!!
 
wewe bana sasa hiyo ndo unasema kazi yaani difference ya 20,000/= heee kazi kweli kweli jamani ,,,haya hongera kwa kupata kazi kali kupitia jf
 
hii ndo JF bana,yan ni kila ki2,.mi nawashukuru wote na nmeenda leo ofic moja nkaanza kazi,kweli salary ni 400000 hyo haikatwi chochote ila inaongezwa na 37000 kama communication expenses na transport. Jaman mi nataka kujua how ntaweza kuichangia JF coz mi kwangu ndo kila ki2 yan nikiumwa-najiuliza hapa,nikikwazwa na mpnz,.hapa ndo solution,kaz nmepata hapahapa. Nawashukuru sana tena sana.
 
Mkuu, ni kupangilia tu, ingawaje huo mshahara sio mkubwa, lakini huwezi ku-suffer on ur way on getting perfect job for u. Binafsi, natumia about TZS 150,000/= kwa mwezi na napiga menu ya maana kabisa kuliko anayetumia 300,000/= kwa mwezi.

Here is how I do (Huwa nafanya yafuatayo mara nipatapo salary yangu):

- Nanunua mchele 15 kg@ 1,500/- = TZS 22,500/-
- Nampa mshikaji wa bucha sh. 28,000/ kwa mwezi ~hapo ni nyama 0.5kg (stake) na 0.5kg(maini). Hizo ni kwa wiki, ambapo natumia 7,000/- kwa wiki na 28,000/- kwa mwezi. Nilichofanya baada ya kuhamia hapa kitaa, nikajenga mazoea na mshikaji wa bucha hadi akawa rafiki yangu na hivyo, ninapomwachia 28,000/- nina uhakika wa kwenda kuchukua nyama kila wiki bila longolongo!
- Watu wa mwambao bila nazi, msosi hauendi...na siku kuna nazi(ya tui) za bakhresa, nina shida gani!!!! Natumia pakti mbili kwa wiki @600, therefore nanunua za mwezi mzima kwa sh. 4,800/-
- Huwa nanunua mafuta ya kula tena yale yale ambayo maskini kama mimi wanayaogopa....ya alizeti kwa sh.18,000/ (lita 3) ambayo nayatumia si chini ya miezi 4 (means kwa mwezi na-spend sh 4,500/-)
- Nanunua in advance sukari 2kg @2000= TZS 4,000/- .
- Nanunua Soya 3 packets @2,000~~~~ TZS 6,000/- kwa mwezi (huwa situmii kabisa majani ya chai)
- Maharage 2kg@ 1,800/= (3,600/- kwa mwezi).... nyama peke yake huwa haipandi kwahiyo lazima nipate maharage kidogo.
- Tambi kwa ajili ya weekend 8pc @ 1000= 8,000/-
- Mafuta ya taa 6lts @ 2000 = 12,000
- Njegele 1,200/- kila weekend...napenda sana hii ki2 na tambi!= 4,800/- kwa mwezi

22,500 + 28,000+4800+4500+4000+6000+3600+8000+12,000+4,800= 98,200/=

Hapo unakuta natumia kama laki tu, lakini napata vitu vyote muhimu for my favorite meal !! Addition point ni kwamba, ninapoenda job, huwa sinywi chai asubuhi, BALI HUWA NAKULA MSOSI!!!

Nimeeleweka?

Sinywi chai; NAPIGA MSOSI! Always, ingawaje sikai mbali na town, huwa naamka saa 11 alfajiri na kuanza kupika WALIIIIIIIII......! Nikishapiga menu yangu ya adabu asubuhi, wala sihangaiki lunch time; by the way, nikishatulia kwenye kiti changu huwa sipendi usumbufu!

Eti unakuta mtoto wa kiume anasema "eti siwezi kula asubuhi.....!" mtu ukiwa na hayo mawazo then be prepared kuolewa mambo yatakapobana! Nasikitika sana kwamba hamna daladala ambazo naweza kulipa in advance, otherwise, I'd do it....sipendi stress kwenye maisha, hususani kwa vitu vya kipuuzi kama basic needs!

Try it, utakuja gundua maisha is very easy sema hatuyajulii tu!!!
ebwana weee jembe... Ngoja nifanyie kazi, ntaifanya my blue print kwenye matumizi yangu ya mwezi... Santaa..
 
hii ndo JF bana,yan ni kila ki2,.mi nawashukuru wote na nmeenda leo ofic moja nkaanza kazi,kweli salary ni 400000 hyo haikatwi chochote ila inaongezwa na 37000 kama communication expenses na transport. Jaman mi nataka kujua how ntaweza kuichangia JF coz mi kwangu ndo kila ki2 yan nikiumwa-najiuliza hapa,nikikwazwa na mpnz,.hapa ndo solution,kaz nmepata hapahapa. Nawashukuru sana tena sana.
Unaweza kumPM invisible au maxence atakupa maelekezo. Kila la heri.
 
Nimemshangaa huyu jamaa! Anataka kulipwa 380, anaremba?! Mimi nalipawa 230, na maisha yanakwenda kama kawaida japo kwa kujibana.
 
Wengi humu akili hazipo we unajpangia mshahara office ya babako ***** mkubwa weee acha kazi ujute
 
Chukua kazi mwana kazi ni bahati ya mtu kuna magraduate wa 2010 hapa hakuna kitu ukiwa ndani ya kaz ndo utapata michongo mingine mpendwa.
 
hongera kwa kupata kazi sasa kishumbua mahoko inatakiwa utoe 2% ya gross yako uichangie JF ni hayo tu..

Hili nalo neno,ili jf iendelee kukua na waboreshe huduma,yatupasa kufanya hvyo,na mm nikipata kaz unikumbushe ndetichia
 
Hi, congratulations,

Please free yourself from dependence ideology, take that job and keep looking for a better one. If I'm to tell you, Immediately after coming out of school, I started with a non proffesional job getting 90,000 a month some 9 Years ago, I moved on in three months to a job that was giving me 260,000 a month, after like 4 months moved on again to another job earning 350,000, the movements continued including getting out of Tanzania to other African countries, and on to Asian countries, just like that... and now I can secure a job worth not less than 6,000,000 a month any time I need it. But what is a foundation of all this, ... , it is a decision to take the first job i.e. the one giving 90,000 (note: all figures in Tsh)

Stop crying, reduce the burden to your host, take the job before the job takes you!!
 
ebwana weee jembe... Ngoja nifanyie kazi, ntaifanya my blue print kwenye matumizi yangu ya mwezi... Santaa..

Hebu jaribu mkuu, utagundua kumbe maisha ni very simple....hapa nasikitika sana kwamba hakuna usafiri wa daladala wa kulipia in advance, otherwise, ingekuwa tayari!!
 
Back
Top Bottom