Kiwembe 0
JF-Expert Member
- Oct 4, 2016
- 536
- 599
Multiple username/ID haina madhara na haiwezi kuzuiwa kanwe maana haivunji sheria za JfMnaotaka muwekewe namna ya kubadili username hilo msahau kabisaaa, niliwahi kua kwenye mtandao mmoja wa live talk kulikua na hiyo option ya kubadili username looh mtu anakucopy name yako anakuchafua atakavyo kisha anarudisha jina lake wewe unaanza kuhaha kujisafisha maana watu wanajua ni wewe, ilikua mbaya sana.... kwa humu pia wanadhibiti hayo mambo ya multiple usernames.
Kitufe cha Dislike, cha nini sasa kama hujapenda post au comment ya mtu pita kimya kimya au sonya huko ulipo basi endelea na mada zingine.
Guys, mkumbuke hii ni FORUM.
Hata wewe unaweza kuwa na ID zaidi ya 10 ilimradi huzitumii vinaya(kutukana,kujianzidhia mada n.k)
Sio kila mwenye multiple ID ana lengo baya wengine ID za biashara,Chitchat na verified user)