Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,903
- 1,053
Wana jf nilimsikia mkurugenzi wa kituo cha kisheria na haki za binadamu akitaja JF kama moja ya taasisi zitakazotoa waangalizi wakati wa uchaguzi mkuu.
Nilisikia JF itatoa watu 60 watakaojiunga na wa taasisi nyingine wakati wa uchaguzi hapo 31.10.
Je wewe utakuwa mmoja wao?
Nilisikia JF itatoa watu 60 watakaojiunga na wa taasisi nyingine wakati wa uchaguzi hapo 31.10.
Je wewe utakuwa mmoja wao?