Waziri wa Kaskazini
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 6,980
- 14,743
Sijasoma thread lakini lakini itakuwa imejaa pumba...
Watatufutia kesi yetu inayotupotezea muda?Ndio maana nimeomba. Sijalazimisha. Pia Wizara na taasisi husika wanaweza kuchangia fedha kidogo
TBCCM ipo wapi?Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty.
Kama umekuwa ukifuatilia threads zangu nyingi za humu jamiiforums nimekuwa nikishauri mbinu mpya na mbadala ambazo zinaweza kutumika katika kuitangaza vema nchi yetu hususan kupitia njia za kwenye mitandao ya kijamii/social media platforms.
Leo ombi langu kubwa lipo kwa uongozi wa jamiiforums ambao kwa heshima na taadhima zote ninawaomba wao pia washiriki katika campaign hii kuitangaza vema nchi yetu walu mara moja tu kwa kila mwezi aidha iwe Tarehe 15 kati kati ya mwezi au Tarehe 28 ya mwisho wa mwezi.
Ninapendekeza, kuwa na tangazo (banner) la kivutio chochote cha utalii baada ya comment/reply ya kwanza ya kila thread au kwenye homepage baada ya hayo maneno "recommended" na "trending"
View attachment 1170064
Ninafahamu fika ya kuwa hii ni biashara and when it comes to business nothing goes for free, ila tunawaomba kwa heshima na taadhima and for the sake of Patriotism, just help us on this.
NB: NSSF naombeni fao langu la mkupuo kwa maana maisha ni magumu sana huku mtaani. Mungu anawaona mjue?
OUR MOTTO
==========
KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USTAWI WA NCHI YAKO UNAANZA NA WEWE. JIULIZE UMEIFANYIA NINI LA MAANA NCHI YAKO MPAKA LEO HII.
Ni kweliSijasoma thread lakini lakini itakuwa imejaa pumba...
Acha kupotosha watu, pia acha kucheza na biashara za watu. Yaani jifunze adabu na kitu cha mtu. Ungekuwa Mstaarabu Usingeandika haya hapa, wenzio wanatafuta wahusika wanakaa mezani wanaangalia wasaidianeje sio kwa style hii.. au unadhani Mnaogopwa? Yaani watumie hela yao kutengeneza artwork, watengeneze banner wapost? Sidhani kama unawaza sawasawa. Huo Uzalendo ungeanzia website ya Ikulu au Website za Serikali. Mshaona JamiiForums ndo Mnyonge wenu wa kuwafanyia Matangazo bure halafu hela za Matangazo mkale nyie? Msitamani vitu msivyo na uwezo navyo. Siku zote mwatangaza wapi?
Nawashauri JamiiForums wasithubutu hata kutoa nafasi moja ya Tangazo bure.
Watu waliozoea vya bure bwana.. Jana juzi nliwatafuta niwape mchango wa mwenge hamjapokea simu
Hahaha kwa mtizamo wako dhihaka ni ipi hapo?! Tanzania kujulikana au Kuwa font page mtandao wa CNN kwa kumkamata Kabendera?, Lisu alipopigwa risasi pia Dunia ilituweka font page, Azory alipotekwa na kupotezwa hadi leo tunafahamika, sijui nani anadhihaki nini?!Achana na maneno ya dhihaka kwenye serious issues. Be matured
nasikitika kukuambia kuwa kuipamba Tanzania ni kazi ngumu kama kupamba mavi maua.Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty.
Kama umekuwa ukifuatilia threads zangu nyingi za humu jamiiforums nimekuwa nikishauri mbinu mpya na mbadala ambazo zinaweza kutumika katika kuitangaza vema nchi yetu hususan kupitia njia za kwenye mitandao ya kijamii/social media platforms.
Leo ombi langu kubwa lipo kwa uongozi wa jamiiforums ambao kwa heshima na taadhima zote ninawaomba wao pia washiriki katika campaign hii kuitangaza vema nchi yetu walu mara moja tu kwa kila mwezi aidha iwe Tarehe 15 kati kati ya mwezi au Tarehe 28 ya mwisho wa mwezi.
Ninapendekeza, kuwa na tangazo (banner) la kivutio chochote cha utalii baada ya comment/reply ya kwanza ya kila thread au kwenye homepage baada ya hayo maneno "recommended" na "trending"
View attachment 1170064
Ninafahamu fika ya kuwa hii ni biashara and when it comes to business nothing goes for free, ila tunawaomba kwa heshima na taadhima and for the sake of Patriotism, just help us on this.
NB: NSSF naombeni fao langu la mkupuo kwa maana maisha ni magumu sana huku mtaani. Mungu anawaona mjue?
OUR MOTTO
==========
KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USTAWI WA NCHI YAKO UNAANZA NA WEWE. JIULIZE UMEIFANYIA NINI LA MAANA NCHI YAKO MPAKA LEO HII.
JamiiForums ni user generated content mkuu, so huko kuitangaza ungeweza hata wewe