Bazenga01
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 769
- 1,261
Asante kwa maelezo yako mdau. Hapo nimemsoma mtoa mada.Alikuwa naibu meya wa Arusha kupitia ccm baadae aliachana na ccm na kujiunga chadema na sasa ni m/kiti mkoa wa Geita CHADEMA
Tukija kwenye dhumuni kuu la mada, hakika JF imenisaidia hata mimi pia. Hapa unapata 'ilim' adimu sana kutoka kwa wadau tofauti, burudani na taarifa muhimu.