Samvulachole
JF-Expert Member
- Oct 22, 2006
- 413
- 117
Kama sikosei ni sisi humu JAMBO FORUMS ndio tuliokuwa wa kwanza kuwa na habari ya MIKATABA ya ubadhirifu wa jamaa zake JK
lakini kama kawaida wale walio karibu na watawala wakaanza kuleta stori za ohhh
LETE EVIDENCE
mara ohhh HAMISHA PELEKA KWENYE UDAKU
mara ohh kiko wapi?
In the end mashambulizi yaliponoga timu ya PR ya LOWASSA ikaingia kujibu mashambulizi na MKJJ akaawa anashambuliwa left and right
Lakini in the end common sense ili prevail THREAD HAIKUHAMISHIWA KWENYE UDAKU kama baadhi ya waliokuwa wakiguswa walivyoptaka na watu waliendelea kuijadali na wenye nyeti zaidi walizileta
Sasa hivi waandishi wa Habari si wa Tanzania tuu bali na wale waliopo nje ya inchi including BBC wamekuwa addicted na JF kwa kujua kuwa we just dont break the news lakini we also analyze them.
Sasa huu mwaka tumeuanza vizuri na sasa hivi kampeni iwe ni kuondoa huu upuuzi wa eti Private life za wanasiasa wanaotutawala na we should have an all out atack on their public and private life na kama kuna mtu hapendi then ale bati tuu
Sasa stay tuned kama waziri mkuu atakuwa Anna Makinda basi mjue kuwa tunaye to the end
Na JK akija na baraza lake la mawaziri 60 basi mjue kuwa hiyo itakuwa ni kanyaboya
lakini kama kawaida wale walio karibu na watawala wakaanza kuleta stori za ohhh
LETE EVIDENCE
mara ohhh HAMISHA PELEKA KWENYE UDAKU
mara ohh kiko wapi?
In the end mashambulizi yaliponoga timu ya PR ya LOWASSA ikaingia kujibu mashambulizi na MKJJ akaawa anashambuliwa left and right
Lakini in the end common sense ili prevail THREAD HAIKUHAMISHIWA KWENYE UDAKU kama baadhi ya waliokuwa wakiguswa walivyoptaka na watu waliendelea kuijadali na wenye nyeti zaidi walizileta
Sasa hivi waandishi wa Habari si wa Tanzania tuu bali na wale waliopo nje ya inchi including BBC wamekuwa addicted na JF kwa kujua kuwa we just dont break the news lakini we also analyze them.
Sasa huu mwaka tumeuanza vizuri na sasa hivi kampeni iwe ni kuondoa huu upuuzi wa eti Private life za wanasiasa wanaotutawala na we should have an all out atack on their public and private life na kama kuna mtu hapendi then ale bati tuu
Sasa stay tuned kama waziri mkuu atakuwa Anna Makinda basi mjue kuwa tunaye to the end
Na JK akija na baraza lake la mawaziri 60 basi mjue kuwa hiyo itakuwa ni kanyaboya