JamiiForums imesababisha Lowassa awe jobless?

Samvulachole

JF-Expert Member
Oct 22, 2006
413
117
Kama sikosei ni sisi humu JAMBO FORUMS ndio tuliokuwa wa kwanza kuwa na habari ya MIKATABA ya ubadhirifu wa jamaa zake JK

lakini kama kawaida wale walio karibu na watawala wakaanza kuleta stori za ohhh
LETE EVIDENCE

mara ohhh HAMISHA PELEKA KWENYE UDAKU

mara ohh kiko wapi?

In the end mashambulizi yaliponoga timu ya PR ya LOWASSA ikaingia kujibu mashambulizi na MKJJ akaawa anashambuliwa left and right

Lakini in the end common sense ili prevail THREAD HAIKUHAMISHIWA KWENYE UDAKU kama baadhi ya waliokuwa wakiguswa walivyoptaka na watu waliendelea kuijadali na wenye nyeti zaidi walizileta

Sasa hivi waandishi wa Habari si wa Tanzania tuu bali na wale waliopo nje ya inchi including BBC wamekuwa addicted na JF kwa kujua kuwa we just dont break the news lakini we also analyze them.

Sasa huu mwaka tumeuanza vizuri na sasa hivi kampeni iwe ni kuondoa huu upuuzi wa eti Private life za wanasiasa wanaotutawala na we should have an all out atack on their public and private life na kama kuna mtu hapendi then ale bati tuu

Sasa stay tuned kama waziri mkuu atakuwa Anna Makinda basi mjue kuwa tunaye to the end

Na JK akija na baraza lake la mawaziri 60 basi mjue kuwa hiyo itakuwa ni kanyaboya
 
He has another opportunity to raise his credibility once again, he must be careful who he nominates as the next PM. If he nominates another fisadi then CCM won't give him another opportunity in 2010.
 
Kama sikosei ni sisi humu JAMBO FORUMS ndio tuliokuwa wa kwanza kuwa na habari ya MIKATABA ya ubadhirifu wa jamaa zake JK

lakini kama kawaida wale walio karibu na watawala wakaanza kuleta stori za ohhh
LETE EVIDENCE

mara ohhh HAMISHA PELEKA KWENYE UDAKU

mara ohh kiko wapi?

In the end mashambulizi yaliponoga timu ya PR ya LOWASSA ikaingia kujibu mashambulizi na MKJJ akaawa anashambuliwa left and right

Lakini in the end common sense ili prevail THREAD HAIKUHAMISHIWA KWENYE UDAKU kama baadhi ya waliokuwa wakiguswa walivyoptaka na watu waliendelea kuijadali na wenye nyeti zaidi walizileta

Sasa hivi waandishi wa Habari si wa Tanzania tuu bali na wale waliopo nje ya inchi including BBC wamekuwa addicted na JF kwa kujua kuwa we just dont break the news lakini we also analyze them.

Sasa huu mwaka tumeuanza vizuri na sasa hivi kampeni iwe ni kuondoa huu upuuzi wa eti Private life za wanasiasa wanaotutawala na we should have an all out atack on their public and private life na kama kuna mtu hapendi then ale bati tuu

Sasa stay tuned kama waziri mkuu atakuwa Anna Makinda basi mjue kuwa tunaye to the end

Na JK akija na baraza lake la mawaziri 60 basi mjue kuwa hiyo itakuwa ni kanyaboya

Mkuu wa Samvula Chole,

Nakubaliana na ulichosema kuhusu tulivyobarikiwa na Mola mwaka huu kwa kutujuza kile tunachopigania. Waama mwaka umeanza vema na sijui tumshukuru Bush ambaye Muungwana anataka kumuimpress? JF itaendelea kupigania haki za watanzania bila kujali itikadi ya siasa,kabila,dini au kitu kingine chochote.

Kuhusu Lowassa, kwa kweli ningependa nipingane nawe (kwa heshima na taadhima)ukisema kuwa tumemsababisha awe jobless. Sisi hatujamfanya jobless, tulichofanya ni kukemea uozo wake. Ufisadi wake ulianza kabla hata JF haijaundwa na ndio maana Mwalimu akamsuta na kuwaambia wale wampendao kuwa wamwalike wakanywe nae chai. Kuwa jobless ni kujitakia mwenyewe kwa upande wake (Lowassa) kwani kama waziri mwandamizi, kada wa CCM na just as being a grown up, hakuhitaji kukumbushwa kuwa cheo ni dhamana. Naamini at some point in his life aliwahi kuapa "Nitajielimisha kadiri ya uwezo wangu na kuitumia elimu yangu kwa faida ya wote". Evidently amekuwa akitumia elimu yake kwa faida yake binafsi na washkaji zake. Kwa hilo mkuu, huyu bwana amejitakia haya yote, labda alifikiri sheria, kanuni na miongozo inamuexempt yeye.

Two words for ENL: GOOD RIDDANCE!
 
EL ni mtu tajiri sana tangu mda mrefu akipokuwa AICC na pesa za maafa Ofisi waziri Mkuu early 1990s!

Pale Arusha tu Leopard Tours ina magari zaidi ya 50 ya Watalii! Wacha raslimali za nyumba Arusha, Dar na Account nono za mabilioni ya shilingi!
 
JF imesababisha EL awe anapostahili. Sio kumfanya Jobless!! And that is soooo GooooD

Hivi ukimchukua "nyoka" mchimba madini mdogo wa mirerani aliyekuwa choka mbaya.... ukamfanya PM ghafla anauza na kuwa kwenye biashra nzuri kuliko nyoka wenzake alioowaacha mashimoni...huko mirerani..huoni hujawatendea haki wale uliowaacha..mashimoni...nao watakuwa wanatamani wawe PM ili nao wauze madini yao kirahisi na biashra zao ziwe nzuri kwani watakuwa exposed.....Swali huoni kila nyoka atatamani U_PM kwa sababu za kibiashara? Hivi ni kweli U_PM ni nafasi ya kupiganiwa kibiashara? Muulize EL ..aliutumia U-PM kwa misingi ya nini? Si biashara...but is it really U_PM ni nafasi ya Biashara? Jibu ni kuwa ..Sasa aendezake akafanye Biashara..and its right time ..arude kwa nyoka na wamachainga..awagawie mitaji ya mali yote aliyoipata tangu aanze kuwa kiongozi ndani ya hili Taifa labada itakuwa ni good recociliation na Mungu wake ...!! He has to be where he belongs...!!!
 
JF has been a blessing from God to Tanzanians. Hili halina ubishi kabisa.
I have been a guest here only recently I decided to register myself as a member, to join hands with people wenye kutaka kuona watanzania wanasikilizwa by being their voices.
Nimekuwa nikifwalia threads hapa JF kwa muda mrefu, I cant mention watu wote but with all due respect napenda kumpa pongezi Mzee MKJJ, bila kuwasahau wengine wote kwa mchango wao katika hili suala la kukemea ufisadi.
Serikali ya JK ilikuwa ikiwafanya watanzania ni kama watoto wadogo wa kudanganywa na kutishwa, but JF has been bold to stand against such acts.
Huu ni mwanzo mzuri kwa JK, the two years of his reign have been wasted, sasa ana miaka mitatu ya kutekeleza ahadi zako, I wish him all the best, and ajue JF itakuwepo kuhakikisha kwamba hatoki nje ya mstari.
I salute you all wana JF, your excellencies.
 
EL ni mtu tajiri sana tangu mda mrefu akipokuwa AICC na pesa za maafa Ofisi waziri Mkuu early 1990s!

Pale Arusha tu Leopard Tours ina magari zaidi ya 50 ya Watalii! Wacha raslimali za nyumba Arusha, Dar na Account nono za mabilioni ya shilingi!

Kama ni tajiri nini kilimfanya aendelee kuwaibia Watanzania ambao hawana hata baiskeli,pesa ya matibabu na mlo shida,wengine hata kulipa bili za umeme wameshindwa achilia mbali kuvuta umeme.Sisi tulidhani kwa utajiri wake angekuwa mwaminifu kwa Watanzania.
Sasa kwa kuwa ni tajiri na tumehakikisha kuwa hawezi(Maana Nyerere alisema hafai hata ubalozi wa nyumba kumi) kututumikia,tumempa nafasi akaendeshe hayo magari yake.
 
Lakuvunda halina ubani, kibarua kishaota manyasi tena tutasota nae kwenye adha ya foleni za barabara. Mwenzie Sumaye mwanzoni alikuwa anaona noma anajifunika kwa kujifanya anasoma gazeti uso hauonekani lakini aaah sasa hivi kishazoea tunapungiana mikono kama kawaida.

Mzee Ngoyai welcome back!
 
Lakuvunda halina ubani, kibarua kishaota manyasi tena tutasota nae kwenye adha ya foleni za barabara. Mwenzie Sumaye mwanzoni alikuwa anaona noma anajifunika kwa kujifanya anasoma gazeti uso hauonekani lakini aaah sasa hivi kishazoea tunapungiana mikono kama kawaida.

Mzee Ngoyai welcome back!

Kama na Masatu hili kaliona kweli alikuwa anafanya mabaya .Kipimo changu kwa issue za aina hii ni Masatu .
 
Wanaofikiri JF inabahatisha habari wameumbuka. JF ni zaidi ya magazeti mengi tu; JF ni zaidi ya TV zinapasha habari kwa kuangalia ukali wa habari yenyewe. Hapa JF isse kwa issue hatua kwa hatua mpaka kinaeleweka. JF itaendelea kuwaandama Mafisadi wanaobaka uchumi wa Taifa. EL ni mmojawapo, naamini bado wengi sana wapo na JF izidi kumulika ndani na nje ya mipaka ya TZ, ili NURU ya MAISHA BORA na ya HAKI iwaangazie WADANGANYIKA.
 
" Kweli ni huzuni, kwa kuanguka kwake morani, kulipotokea pale bungeni, akasema moyoni, nafukuzwa kazi kwa uzushi, akalia kwa huzuni, hata mwisho akachoka, pale juu kizimbani akabwaga nyanga kwa huzuni"!
 
Lowassa hana cha kuhurumiwa, kwanza anaondoka akiwa anatucheka na kutuona watanzania wajinga. Kujiuzulu kwake hakuna maana kuwa ndio kunasafisha madhambi yake. Toka mwanzo Baba wa taifa alisema huyu mtu hatufai, JK akajiona kichwa ngumu na sasa ameona. For sure JF imeplay part ya kumfikisha hapo alipo, lakini vilevile tukumbuke kuwa JF haikumtuma awe fisadi, sababu kubwa iliyomfikisha hapo alipo ni ufisadi, tabia yake ya udikteta, na kulifanya bunge kama kindergaten na kuwafanya watanzania wajinga.
Tukumbuke kuwa mafisadi si masikini au wenye mapato kidogo wanaolazimika kupokea milungula kutokana na maisha magumu, ukiangalia kama yeye si maskini ni tajiri nguli, na nafasi ya U-PM ilikuwa tosha kabisa kumhakikishia masiha hadi anakufa hakuwa na sababu ya kuendelea na ufisadi baada ya kuwa PM, lakini ndio ametokea kuwa worst PM in Tanzanian history ever, ajabu sana kama ataishia kujiuzulu, inatakiwa afikishwe mahakamani.
 
He has another opportunity to raise his credibility once again, he must be careful who he nominates as the next PM. If he nominates another fisadi then CCM won't give him another opportunity in 2010.
dah BAK kumbe ulikuwa unashusha nondo humu toka zamani
 
  • Thanks
Reactions: BAK
huyo chaliiii ni mwizi wa miaka chungu nzima, ina shangaza hata huo uwaziri mkuu aliupata vipi @ 1st place.........inafaa apewe hukumu ya kifo, by kuweka pale kariakoo kwenye traffic ya watu wengi, wamgonge mawe mpaka akate roho!! Ni fisadi la mafisadi, kumvua u-pm haitoshi..................
Duh sijui km Ben Sanane amesoma hapa?
 
He has another opportunity to raise his credibility once again, he must be careful who he nominates as the next PM. If he nominates another fisadi then CCM won't give him another opportunity in 2010.
Leo unakana lowasa sio fisadi
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom