Kuntakinte
JF-Expert Member
- May 26, 2007
- 701
- 31
Watoto wa Mjini wanasema hili jiwe (nzuri mno) mwanaaaa. Pongezi zikufikiie Mkuuu.
Inategemea una majukumu gani mengine. Kama wewe ni video producer itakuwa rahisi, kwani tayari softwares unazo. Lakini pia mtu anaweza kuwa na knowledge, ila kwa wakati huo hana some resources kama software etc kutokana na nature ya kazi zake za kila siku, kwa hiyo akatakiwa kwanza aanze kuangalia nani au wapi atapata. Obviously itamcost time. Ni mfano tu, si lazima iwe kama ilivyo. Invisible amesema atarudi kujibu ile !!One week, unatengeneza music video? LOL!!
Hi Icadon,
Wow Great work just a little feedback that you may have noted yourself:
1) when it starts the line "Be a part of community" should be "Be a part of a community" I think.
2) And a little suggestion is after you higlight the few forums (Jukwaa la siasa....burudani, etc) may not be a bad idea to add "....and much more!"
Thats all...luv'd the ad!!!!
Watoto wa Mjini wanasema hili jiwe (nzuri mno) mwanaaaa. Pongezi zikufikiie Mkuuu.
icadon nimeipenda sana kazi yako keep up bila shaka hii zawadi yaweza kuishia kwako.
Nimefanya mabadiliko mawili matatu kwenye original composition, bado sijapata background nitakayoitumia permanently.
YouTube - Jamii Forums 1:2:1
Mzee kazi nzuri..
Nina wazo kidogo. Kama unaweza kufanya pia ikawa inasomeka kwa Kiswahili kwenye maneno ambayo yanaonekana kwa kiingereza. Kumbuka kuangalia tunatarget watu ambao wataangalia television za kiswahili pia.
Vile vile kama unaweza kuweka background ya JF web labda mwishoni pale.
Otherwise is Good.
Mzee kazi nzuri..
Nina wazo kidogo. Kama unaweza kufanya pia ikawa inasomeka kwa Kiswahili kwenye maneno ambayo yanaonekana kwa kiingereza. Kumbuka kuangalia tunatarget watu ambao wataangalia television za kiswahili pia.
Vile vile kama unaweza kuweka background ya JF web labda mwishoni pale.
Otherwise is Good.
Icadon nimepata wazo kwamba kwa nini kwenye tangazo hilo usiweke maandishi kuwa jamii forums inapokea matangazo(Adverts) na ku host web? maana nadhani jamii forums inahitaji matangazo mengi kuwa hosted hapa kwa ajili ya ustawi wake.Nimefanya mabadiliko mawili matatu kwenye original composition, bado sijapata background nitakayoitumia permanently.
YouTube - Jamii Forums 1:2:1
Nimefanya mabadiliko mawili matatu kwenye original composition, bado sijapata background nitakayoitumia permanently.
YouTube - Jamii Forums 1:2:1
Mkuu, kijana kwa kweli amejitahidi, ianelekea kijana yuko busy sana....atumie muda zaidi kidogo kurekebisha pale panapotokea ushiriki ktk mambo mbali mbali....siasa, uchumi, sheria nk...... inaenda speed mno...its not easy ku-catch
Mkuu I hope you don't mind nimeweka ad yako kwenye youtube. naona umetumia one of my favorite song (where the streets have no name)
YouTube - X-Paster's Jamii Forums Ad.