Jamiiforum mobile app inasumbua kulog in

OMOYOGWANE

JF-Expert Member
Dec 30, 2016
3,601
9,062
Hellow wakuu,

Hii ni wiki ya tatu sasa jamiiforum app nikitaka kulog in inaniletea maelezo ya ku register,
Hata hivyo nikifuata hayo maelekezo inanirudisha nyuma tena kwenye kulog in.


Tatizo ni nini?
 

Attachments

  • Screenshot_2018-05-26-19-59-17.jpeg
    Screenshot_2018-05-26-19-59-17.jpeg
    59.2 KB · Views: 29
Hellow wakuu,

Hii ni wiki ya tatu sasa jamiiforum app nikitaka kulog in inaniletea maelezo ya ku register,
Hata hivyo nikifuata hayo maelekezo inanirudisha nyuma tena kwenye kulog in.


Tatizo ni nini?
Cha kufanya cha kwanza...

"""Nenda kaLOG IN kwa kutumia WEB, Namaanisha kaiGOOGLE(Alafu uLOG IN)"""

Baada ya hapo, utakuta kuna "Terms na Conditions"" ziAGREE"" ukimaliza kuzikubali hizo PRIVACY, utakuwa umeLOG IN tayari kwa hiyo WEB.


Step ya pili , Rudi kwenye APP...Utakuta mambo mazuri.
 
Cha kufanya cha kwanza...

"""Nenda kaLOG IN kwa kutumia WEB, Namaanisha kaiGOOGLE(Alafu uLOG IN)"""

Baada ya hapo, utakuta kuna "Terms na Conditions"" ziAGREE"" ukimaliza kuzikubali hizo PRIVACY, utakuwa umeLOG IN tayari kwa hiyo WEB.


Step ya pili , Rudi kwenye APP...Utakuta mambo mazuri.
shukrani
 
Back
Top Bottom