OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 3,601
- 9,062
Nimejaribu inakuja ile ile ya siku xote inayosumbua kulog inDownload old itakubali, hii version ya 7.1 ni majanga tupu
Cha kufanya cha kwanza...Hellow wakuu,
Hii ni wiki ya tatu sasa jamiiforum app nikitaka kulog in inaniletea maelezo ya ku register,
Hata hivyo nikifuata hayo maelekezo inanirudisha nyuma tena kwenye kulog in.
Tatizo ni nini?
shukraniCha kufanya cha kwanza...
"""Nenda kaLOG IN kwa kutumia WEB, Namaanisha kaiGOOGLE(Alafu uLOG IN)"""
Baada ya hapo, utakuta kuna "Terms na Conditions"" ziAGREE"" ukimaliza kuzikubali hizo PRIVACY, utakuwa umeLOG IN tayari kwa hiyo WEB.
Step ya pili , Rudi kwenye APP...Utakuta mambo mazuri.
Aminashukrani