Jamii ya Kitanzania inaishi maisha ya kiungwana sana tofauti na mataifa mengine

green rajab

JF-Expert Member
Oct 16, 2015
11,303
35,849
Katika harakati zangu za utaftaji nimetembea sehemu tofauti na kuishi na jamii mbalimbali. Jambo nililojufunza jamii ya kitanzania imestaaribika sana tuna ubinaadamu sana tofauti na jamii zingine, huezi amini leo hii ukiwa maeneo kama Visiwa Pemba, Chakechake au Unguja ukipoteza au kudondosha kitu chochote huokotwa na baadae hutangazwa Radio Zanzibar ili mwenyewe akipata taarifa akachukue.

Hii nitofauti na mataifa yaliyotuzunguka ambayo jamii zao zimekaa kibepari sana hawana uungwana hawatoi msaada bila malipo lakini. Leo hii we nenda popote Tanzania hata kama huna ndugu utapata chochote unahitaji bila kua na hofu yoyote lakini asilimia kubwa ya watanzania hawajui hili wanafikiri Nchi zote wanaishi kama wao na kudharau hii hali tushukuru Mungu.

Nchi yetu imebarikiwa sana ardhi nzuri ya kutosha maji mengi amani tofauti na Nchi nyingine zinazokabiliwa majanga kama jangwa vita hamna amani ya uhakika njaa na nk. tuipende Nchi yetu.

Nawatakia weekend njema.

tenor(26).gif
Dv7LxcGXgAICj43.jpg
Dv7LxcGXgAICj43.jpg


hqdefault.jpg
 
Mwenyezi Mungu aendelee kutubariki tuwe vivyo hivyo
Nchi ambayo huwezi kunyimwa chakula
Nchi ambayo ukipotea njia uliza utaelekezwa
Nchi ambayo tunaunganishwa na lugha yetu ya kiswahili
Nchi tajili wa
Tamaduni za makabila mbalimbali
Vyakula pendwa vya kiasili kulingana na makabila yetu
Mungu alitupenda sana na anazidi kutupenda
Yes we are ...
TANZANIA TANZANIA TANZANIA wewe ni urithi wangu na zawadi yangu nitakulinda daima
 
Mwenyezi Mungu aendelee kutubariki tuwe vivyo hivyo
Nchi ambayo huwezi kunyimwa chakula
Nchi ambayo ukipotea njia uliza utaelekezwa
Nchi ambayo tunaunganishwa na lugha yetu ya kiswahili
Nchi tajili wa
Tamaduni za makabila mbalimbali
Vyakula pendwa vya kiasili kulingana na makabila yetu
Mungu alitupenda sana na anazidi kutupenda
Yes we are ...
TANZANIA TANZANIA TANZANIA wewe ni urithi wangu na zawadi yangu nitakulinda daima
Ukienda popote Tanzania unaanzisha makazi unaoa na utazikwa hapo hamna tatizo watu wote ni ndugu zako
 
Yani ukitaka kujua kama Tanzanian tunaishi kwa upendo, toka nje ya Tanzanian walau hata nchi mbili tu ndo utajua kama sisi ni binaadamu. Lakini ukiwa ndani huwezi kujua haya yote. Mungu ibariki Tanzanian🙏
 
Katika harakati zangu za utaftaji nimetembea sehemu tofauti na kuishi na jamii mbalimbali Jambo nililojufunza jamii ya kitanzania imestaaribika sana tuna ubinaadamu sana tofauti na jamii zingine huezi amini leo hii ukiwa maeneo kama Visiwa Pemba, Chakechake au Unguja ukipoteza au kudondosha kitu chochote huokotwa na baadae hutangazwa Radio Zanzibar ili mwenyewe akipata taarifa akachukue, hii nitofauti na mataifa yaliyotuzunguka ambayo jamii zao zimekaa kibepari sana hawana uungwana hawatoi msaada bila malipo lkn leo hii we nenda popote Tanzania hata kama huna ndugu utapata chochote unahitaji bila kua na hofu yoyote lkn asilimia kubwa ya watanzania hawajui hili wanafkiri Nchi zote wanaishi kama wao nakudharau hii hali tushukuru mungu Nchi yetu imebarikiwa sana ardhi nzuri ya kutosha maji mengi amani tofauti na Nchi nyingine zinazokabiliwa majanga kama jangwa vita hamna amani ya uhakika njaa na nk. tuipende Nchi yetu. Nawatakia weekend njema.
Hujafika Lumumba wewe.
 
Yani ukitaka kujua kama Tanzanian tunaishi kwa upendo, toka nje ya Tanzanian walau hata nchi mbiri tu ndo utajua kama sisi ni binaadamu. Lakini ukiwa ndani huwezi kujua haya yote. Mungu ibariki Tanzanian
Ni kweli kabisa thamani ya hii Nchi hawaijui sababu hawajaona changomoto zinazokabili Jamii zingine
 
Katika harakati zangu za utaftaji nimetembea sehemu tofauti na kuishi na jamii mbalimbali. Jambo nililojufunza jamii ya kitanzania imestaaribika sana tuna ubinaadamu sana tofauti na jamii zingine, huezi amini leo hii ukiwa maeneo kama Visiwa Pemba, Chakechake au Unguja ukipoteza au kudondosha kitu chochote huokotwa na baadae hutangazwa Radio Zanzibar ili mwenyewe akipata taarifa akachukue.

Hii nitofauti na mataifa yaliyotuzunguka ambayo jamii zao zimekaa kibepari sana hawana uungwana hawatoi msaada bila malipo lakini. Leo hii we nenda popote Tanzania hata kama huna ndugu utapata chochote unahitaji bila kua na hofu yoyote lakini asilimia kubwa ya watanzania hawajui hili wanafikiri Nchi zote wanaishi kama wao na kudharau hii hali tushukuru Mungu.

Nchi yetu imebarikiwa sana ardhi nzuri ya kutosha maji mengi amani tofauti na Nchi nyingine zinazokabiliwa majanga kama jangwa vita hamna amani ya uhakika njaa na nk. tuipende Nchi yetu.

Nawatakia weekend njema.

View attachment 1463577View attachment 1463594View attachment 1463594

View attachment 1463595


Ni sawa lakini tusiingiliwe na mambo ya kabila moja na kuanza kutumia lugha hiyo isiyo rasmi majukwaani kama wakati huu. Lugha yetu ni Kiswahili na pia tugawe vyeo kwa makabila yote sio tu watu flani.
 
Ni sawa lakini tusiingiliwe na mambo ya kabila moja na kuanza kutumia lugha hiyo isiyo rasmi majukwaani kama wakati huu. Lugha yetu ni Kiswahili na pia tugawe vyeo kwa makabila yote sio tu watu flani. Unapoona zaidi ya mawaziri 10 wanatoka kabila moja basi ujue tumeanza kuipoteza Tanzania yetu.

Nakubaliana wewe kabisa leo hii nenda Kenya utafute shamba la kulima uone kama utapata
Tuendelee kuenzi tunu za Taifa letu
Ukienda popote Tanzania unaanzisha makazi unaoa na utazikwa hapo hamna tatizo watu wote ni ndugu zako
 
Tz sisi ni wa kipekee. Nilitoka huko nilkotoka usiku wa manane nkafika sehem baada ya kupoteza na mwenyeji wangu nkapata msaada nkalala, nkaamka, nkatafuta chumba, nkajenga urafiki, nkapata ndoo, jiko, vyombo vngne n.k nkaaza maisha. Hawajui nilkotoka, wala mm ni nani. Hao wakawa ndugu mpaka sasa. Miongoni mwao nkapata mke. Hii ndo Tz, nchi yetu.


Alaaniwe mwanasiasa yule ajaribuye kutugawa. Eeh Mungu shusha rungu umpige utosini mwake.

Tz idumu milele. 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾
 
Back
Top Bottom