mkuu tulishanzisha ikagoma.... tilichanga hela tukawa na ofs nzuri sana hapo kinondoni tukafanya parttion tukasajili ikakomea padogo sana watu kwenye vikao hawaji tukaaamua kukubaliana kuwa tumeshindwa.... kaka kiiza, nampesia, nawengine..... ikashindikana banaWahenga walisema kwenye miti hakuna wajenzi...
Tusiwe ivo...nina wazo la saccos nitaliweka hapa......
Wenye mawazo wanakaribishwa.
CC KakaKiiza , Caroline Danzimkuu tulishanzisha ikagoma.... tilichanga hela tukawa na ofs nzuri sana hapo kinondoni tukafanya parttion tukasajili ikakomea padogo sana watu kwenye vikao hawaji tukaaamua kukubaliana kuwa tumeshindwa.... kaka kiiza, nampesia, nawengine..... ikashindikana bana
tuwaze kibiasharaTulianzisha hapa na tukapigwa na member wa humu we acha ila tulikodi ofisi ufipa kwa miaka 2 bila hata kufanya lolote na jutia ile pesa ningeipiga ulabu kuna member hapa wanacheka maana walijaribu...ila nisikukatishe tamaa ila nitakuwa wa mwisho.
Mobile Traveller
mkuu tulishanzisha ikagoma.... tilichanga hela tukawa na ofs nzuri sana hapo kinondoni tukafanya parttion tukasajili ikakomea padogo sana watu kwenye vikao hawaji tukaaamua kukubaliana kuwa tumeshindwa.... kaka kiiza, nampesia, nawengine..... ikashindikana bana