Jamii imegoma kabisa kuhusu Magufuli? Nini kifanyike?

Countrywide

JF-Expert Member
Mar 2, 2015
18,173
27,223
Nimeona na mimi niweke neno kwenye haya masuala ya kuhusu Magufuli na mambo yake na jinsi serikali ilivyokuwa.

Lakini naona kama jamii imegoma kabisa kuhusu Magufuli chochote kinachosemwa kuhusu Magufuli na ndio maana bado nguvu kubwa na pesa inatumika kupambana nae.

Jibu la harakaharaka la wanaosema ni kuwa "Magufuli alilisha watu uongo", huenda ikawa kweli au la

Lakini ni uongo gani huu ambao watu hata kwa macho ya kawaida washindwe kuuona na wakubali kukaa nao hadi leo? Huwa tunasema uongo baada ya muda huumbuka. Ila mbona mambo bado? Na nguvu inazidi kutumika na muda unayoyoma.

Haya yote yanayosemwa sasa yalisemwa sana mwaka jana kuhusu Magufuli tena zaidi ya hivi, lakini kwa nini jamii kubwa bado imegoma? Ikiwa mwaka huu nao utapita kwa jamii hii kugoma, nini kifanyike? Kwa maana maneno yote yameshaisha, ila bado ngoma ndio kwanza mbichi. Itumike njia gani nyingine? Au huenda wanaosema ndio tatizo?

Najaribu kuwaza nguvu kubwa imetumika na bado inatumika kwa kutumia wanasiasa, wanaharakati, magazeti na waandishi wengi wakongwe kupambana na marehemu na zimeandikwa makala na mada za kila aina zaidi hata ya 1000, lakini kwa nini bado wanashindwa? Hoja ya msingi kwenye mada yangu ndio ipo hapo.

Ni kweli tumekubali kupambana na kivuli Cha marehemu mwaka wa Pili Sasa, Ila bado tunashindwa?

Niliwahi kujua Magufuli ana nguvu kubwa kwa kuwa yupo hai, ili sikuwahi kujua Magufuli ana nguvu kubwa hivi akiwa amekufa.

#SSH 2025# kazi iendelee#....
 
RIP JPM dunia ina wanafiki wengi sana.. Pumzika kwa amani baba. 😢
FAD571F4-3C2B-4703-BAC5-51EE09DF2F41.jpeg
 
Nimeona na mm niweke neno kwenye haya masuala ya kuhusu Magufuli na mambo yake na jinsi serikali ilivyokua.

Lakini naona kama jamii imegoma kabisa kuhusu Magufuli chochote kinachosemwa kuhusu Magufuli na ndio maana bado nguvu kubwa na pesa inatumika kupambana nae.

Jibu la harakaharaka la wanaosema ni kuwa "Magufuli alilisha watu uongo", huenda ikawa kweli au la

Lakini ni uongo gani huu ambao watu hata kwa macho ya kawaida washindwe kuuona na wakubali kukaa nao hadi leo? Huwa tunasema uongo baada ya muda huumbuka, Ila mbona maambo bado? Na nguvu inazidi kutumika na muda unayoyoma.

Haya yote yanayosemwa sasa yalisemwa sana mwaka jana kuhusu magufuli tena zaidi ya hivi, lakini kwa nn jamii kubwa bado imegoma? Ikiwa mwaka huu nao utapita kwa jamii hii kugoma, nn kifanyike? Kwa maana maneno yote yameshaisha, ila bado ngoma ndio kwanza mbichi. Itumike njia gani nyingine? Au huenda wanaosema ndio tatizo?

Najaribu kuwaza nguvu kubwa imetumika na bado inatumika kwa kutumia wanasiasa, wanaharakati, magazeti na waandishi wengi wakongwe kupambana na marehemu na zimeandikwa makala na mada za kila aina zaidi hata ya 1000, lakini kwa nn bado wanashindwa? Hoja ya msingi kwenye mada yangu ndio ipo hapo.

Ni kweli tumekubali kupambana na kivuli Cha marehemu mwaka wa Pili Sasa, Ila bado tunashindwa?

Niliwahi kujua Magufuli ana nguvu kubwa kwa kuwa yupo hai, ili sikuwahi kujua Magufuli ana nguvu kubwa hivi akiwa amekufa.



#SSH 2025# kazi iendelee#....
Sijui umeandika nini? Just trash
 
Nimeona na mm niweke neno kwenye haya masuala ya kuhusu Magufuli na mambo yake na jinsi serikali ilivyokua.

Lakini naona kama jamii imegoma kabisa kuhusu Magufuli chochote kinachosemwa kuhusu Magufuli na ndio maana bado nguvu kubwa na pesa inatumika kupambana nae.

Jibu la harakaharaka la wanaosema ni kuwa "Magufuli alilisha watu uongo", huenda ikawa kweli au la

Lakini ni uongo gani huu ambao watu hata kwa macho ya kawaida washindwe kuuona na wakubali kukaa nao hadi leo? Huwa tunasema uongo baada ya muda huumbuka, Ila mbona maambo bado? Na nguvu inazidi kutumika na muda unayoyoma.

Haya yote yanayosemwa sasa yalisemwa sana mwaka jana kuhusu magufuli tena zaidi ya hivi, lakini kwa nn jamii kubwa bado imegoma? Ikiwa mwaka huu nao utapita kwa jamii hii kugoma, nn kifanyike? Kwa maana maneno yote yameshaisha, ila bado ngoma ndio kwanza mbichi. Itumike njia gani nyingine? Au huenda wanaosema ndio tatizo?

Najaribu kuwaza nguvu kubwa imetumika na bado inatumika kwa kutumia wanasiasa, wanaharakati, magazeti na waandishi wengi wakongwe kupambana na marehemu na zimeandikwa makala na mada za kila aina zaidi hata ya 1000, lakini kwa nn bado wanashindwa? Hoja ya msingi kwenye mada yangu ndio ipo hapo.

Ni kweli tumekubali kupambana na kivuli Cha marehemu mwaka wa Pili Sasa, Ila bado tunashindwa?

Niliwahi kujua Magufuli ana nguvu kubwa kwa kuwa yupo hai, ili sikuwahi kujua Magufuli ana nguvu kubwa hivi akiwa amekufa.



#SSH 2025# kazi iendelee#....
Katiba mpya ina majibu
 
Kupambana na JPM ni rahisi

Wewe endeleza makubwa yote aloyafanya, fanya zaidi ya pale huku ukitumia Mahali alipopungua JPM kujiimarisha.

Kwa Sababu Watanzania wana macho, walimsikia JPM akisema, wakaona akitenda, JPM hakuwa mwanasiasa alikuwa mtendaji.

Ndio Sababu Ilifanya awaguse watu Moja Kwa Moja.

Lakini hizi blaaa blaaah za timu msoga, na wapinzani hewa wanaojali matumbo Yao.. KAMWE , NARUDIA KAMWEEE, KAMWEEEE HAZITOKAA KUWAPA USHINDI DHIDI YA JPM.

Sana sana Hiki kikundi Cha wahuni wa Msoga na wapinzani wabinafsi, WATAENDELEA KUJIONYESHA KUSHINDWA KWAO KAZI, WAKAJARIBU KUJIFICHA NYUMA YA JPM LAKINI HAWATAMSHINDA!!.

JPM KAWAFUNZA WATANZANIA NI RAIS GANI ANAWAFAA.

Nimesema na Narudia kusema mwaka 2025, Msishangae kuona Samia na timu msoga, wakilitumia jina la JPM kuomba Kura.
 
Vijana mliohongwa U-Ded,U-Dc pamoja na ubunge wa vimemo mnahangaika na kumtetea. Mtuambie ni nani aliyeharibu uchaguzi wa 2019/2020, nani aliyempiga Tundu Lissu risasi, Ben Rabiu Saanane yuko wapi, nani alimpiga risasi Aquelina

Kwa kifupi alitengeneza project nyingi zenye kuliletea Taifa hili hasara pamoja na kujineemesha yeye mwenyewe!
 
Wanataka achafuke kwa lazima! Mchafu hachafuliwi, uchafu wake utaongea wenyewe! Ila uongo hata upakwe rangi vipi haujawahi kushinda labda ushindi wa muda tu. JPM alikuwa na madhaifu yake lakini kumpandikiza uchafu kwa lazima na nguvu kubwa haikubaliki.
 
Kupambana na JPM ni rahisi

Wewe endeleza makubwa yote aloyafanya , fanya zaidi ya pale ,huku ukitumia Mahali alipopungua JPM kujiimarisha.


Kwa Sababu Watanzania Wana macho, walimsikia JPM akisema, wakaona akitenda,, JPM hakua mwanasiasa alikua mtendaji.



Ndio Sababu Ilofanya awaguse watu Moja Kwa Moja .


Lkn hizi blaaa blaaah za timu msoga, na wapinzani hewa wanaojali matumbo Yao.. KAMWE , NARUDIA KAMWEEE, KAMWEEEE HAZITOKAA KUWAPA USHINDI DHIDI YA JPM.



sana sana Hiki kikundi Cha wahuni wa Msoga na wapinzani wabinafsi , WATAENDELEA KUJUONYESHA KUSHINDWA KWAO KAZI, WAKJARIB KUJIFICHA NYUMA YA JPM LAKINI HAWATAMSHINDA !!.



JPM KAWAFUNZA WATANZANIA NI RAIS GAN ANAWAFAA.


Nmesema na Narudia kusema mwaka 2025 , Msishangae kuona Samia na timu msoga, wakilitumia jina la JPM kuomba Kura.
Umepiga kwenye mshono
 
Vijana mliohongwa U-Ded,U-Dc pamoja na ubunge wa vimemo mnahangaika na kumtetea. Mtuambie ni nani aliyeharibu uchaguzi wa 2019/2020, nani aliyempiga Tundu Lissu risasi, Ben Rabiu Saanane yuko wapi, nani alimpiga risasi Aquelina

Kwa kifupi alitengeneza project nyingi zenye kuliletea Taifa hili hasara pamoja na kujineemesha yeye mwenyewe!
Uko so shallow on ua mind ndugu
 
Vijana mliohongwa U-Ded,U-Dc pamoja na ubunge wa vimemo mnahangaika na kumtetea. Mtuambie ni nani aliyeharibu uchaguzi wa 2019/2020, nani aliyempiga Tundu Lissu risasi, Ben Rabiu Saanane yuko wapi, nani alimpiga risasi Aquelina

Kwa kifupi alitengeneza project nyingi zenye kuliletea Taifa hili hasara pamoja na kujineemesha yeye mwenyewe!
Haya maneno mmeyasema sana na mmesharudia zaidi ya Mara 1000 Ila bado mmeshindwa. Ndio maana nimekuja na hii post nini kifanyike.
 
Wanataka achafuke kwa lazima! Mchafu hachafuliwi, uchafu wake utaongea wenyewe! Ila uongo hata upakwe rangi vipi haujawahi kushinda labda ushindi wa muda tu. JPM alikuwa na madhaifu yake lakini kumpandikiza uchafu kwa lazima na nguvu kubwa haikubaliki.
Mimi naona hivyo pia, maana kwa nguvu iliyotumika mwaka Jana na inayotumika sasa wangekuwa washashinda. Ila bado, unashauri nini kifanyike?
 
Back
Top Bottom