Street Hustler
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 2,144
- 4,192
Tuwaambie ilipo au tuache kwa maslai ya Taifa letu.
Hivi kwa Hali ilivyo sasa kununua kichwa Kama hicho na behewa zake inaweza kugharimu kiasi gani.
Mie najua sehemu ilipo na mmiliki pia nabei pia n nzuri Sana.