Mkuu hapo kwenye lugha kwel we mbaya hahahaaaaaaaa swahil english.
stone that they build refuse, will always be the head corner stone!
Hata Misri kwa Mubarak hakuamni mitandao kama inasema kweli.Wanaosema JF ni chombo cha wahuni ni watu wasijua kinachoendelea...
Mkuu hapo kwenye lugha kwel we mbaya hahahaaaaaaaa swahil english.
mkuu hii English ni noma umewafunika
Wana JamiiForums, mnakumbuka vizuri jinsi mtandao huu ulivyopingwa vikali na watesi wa haki za binadamu hapa Tanzania (CCM na Serkali yake) tangia misingi yake yaani JamboForums.
Serikali na Taasisi zake karibia zote hasa JESHI la polisi lilikuwa mstari wa mbele kusema hii JF ni ya wahuni bila kusahau viongozi wengi wa serikali wakiwepo wabunge wa CCM kama MAMA G. LWAKATARE aliyetaka JamiiForums ifungiwe.
Leo hii tunaona mkurugenzi wa usalama wa CHADEMA yuko mahakamani tena serikali ikidai ina ushaidi kutoka JamiiForums.
Swali langu ni lini Serikali ilitangaza kuwa JamiiForums siyo chombo cha wahuni tena?
Je, sitakuwa sahihi kusema kuwa JamiiForums ni jiwe lililokataliwa na waashi ambalo sasa ni jiwe kuu la pembeni?
:tape2:
stone that they build refuse, will always be the head corner stone!