Jamii Forums ikiwa ni bunge

Kiranja Mkuu

JF-Expert Member
Feb 18, 2010
4,059
4,055
Kama jamii forums ni bunge, je nani atakuwa spika, makamu wa spika, waziri mkuu na baraza la mawaziri kwa ujumla litakuwaje?
 
Haya sasa ni mawazo finyu yaliyokosa uhalisia ndani yake.
Kaka umeamkia upande gani leo?
Maana hii hoja uliyokuja nayo leo inaonyesha kuwa jana ulinyimwa mambo na shemeji, kile kibaridi kilichosababishwa na mvua kikakuishia wewe
 
unauliza nani atakuwa supika? si tutagombea, labda uulize nani atachauliwa kuwa supika
 
Back
Top Bottom