Jamii forum yataka kunivunjia ndoa

Nduka Original

JF-Expert Member
Nov 6, 2010
1,012
816
Nimekaa Jamvini takribani miezi miwili ila naona maisha yangu ya ndoa yako matatani. Nachelewa sana kutoka kwenye shughuli zangu, ila nikifika nikisha pata chakula cha jioni nahamia kwenye laptop na kuhangaika kwenye jamii forum mpaka alfajiri. Mama hajapata haki yake tangu nijiunge na jamii forum.

Nikisha kaa sibanduki mpaka alfajiri. Mida hiyo nikiomba mzigo mama hataki anasema kumekucha.

Naomba MODS mnitoe kwenye forum yenu nisije nikavunja ndoa yangu.

Byeeee.
 
Jaribu kuwa na Ratiba JF isiwe sababu ya wewe kutotimiza haki ya Ndoa....angalia usije megewa na wenzio wasio kuwa busy.tafuta muda wa JF na familia yako kwa ujumla.
 
Nimekaa Jamvini takribani miezi miwili ila naona maisha yangu ya ndoa yako matatani. Nachelewa sana kutoka kwenye shughuli zangu, ila nikifika nikisha pata chakula cha jioni nahamia kwenye laptop na kuhangaika kwenye jamii forum mpaka alfajiri. Mama hajapata haki yake tangu nijiunge na jamii forum. Nikisha kaa sibanduki mpaka alfajiri. Mida hiyo nikiomba mzigo mama hataki anasema kumekucha.

Naomba MODS mnitoe kwenye forum yenu nisije nikavunja ndoa yangu.

Byeeee.

...aiy---yaaaahhh! Self discipline inasumbua...
huenda hata Mods wakiku Ban, utakuja na ID nyingine,...!
Pole sana,....
 
mmmmhhhh bwana we nadhini kila mtu huku anamajukumu kama yako na familia...ila cha muhimu nikujaribu ku control muda wako...muda ambao unatakiwa ku spent na bibie fanya hivyo...na kama unawatoto na wao wape mda wao pia....

Jaribu sana kuiweka familia mbele....mmmmhhh tena wakati wa usiku ndo usiingie kabisa huku....huo ndo muda wa wekupata raha zaidi ya ambayo utaipata hapa kweye JF..

Take easy, take it slow, and take care....:party:
 
Kama ndoa inaushida kwa kisingizio cha jf basi hata kazi uko ofisini hufanyi unhitaji kuustafishwa.
 
Hauna lolote , wewe una kicheche unachomalizia haja zako, ukifika home unamuona mkeo taka taka na kwa sababu net is so addictive basi una kaa online kumkwepa mkeo.
 
Mimi sikubaliani na mada hii ingawa sipendi kutema cheche kama na wengine waliogadhabishwa ila naomba nitumie kauli ya busara na kizalendo kukushauri ndugu yangu. Hakuna haja ya kuwaomba jf wakufute ila unaweza ukahamua usiwashe laptop yako wala kutokuingia internet na hautaona wala kusikia jamii forums wakikuuliza mbona hujaja leo?

Mimi huwa nakawia hata miezi minne bila kwenda internet kusoma magazeti kuangalia tvs na hata kusikiliza radio, na hakuna m2 anae nihukumu sembuse wewe na jf kaka jihukumu mwenyewe kwa kwenda bar kupata beer kwa pesa yako mwenyewe bila kulazimishwa.
 
Naomba namba ya mkeo niwasiliane nae. Hujapiga mashine miezi miwili kisa jamii forum? Mlete tukusaidie kaka
 
mimi sikubaliani na mada hii ingawa sipendi kutema cheche kama na wengine waliogadhabishwa ila naomba nitumie kauli ya busara na kizalendo kukushauri ndugu yangu. Hakuna haja ya kuwaomba jf wakufute ila unaweza ukahamua usiwashe laptop yako wala kutokuingia internet na hautaona wala kusikia jamii forums wakikuuliza mbona hujaja leo? Mimi huwa nakawia hata miezi minne bila kwenda internet kusoma magazeti kuangalia tvs na hata kusikiliza radio, na hakuna m2 anae nihukumu sembuse wewe na jf kaka jihukumu mwenyewe kwa kwenda bar kupata beer kwa pesa yako mwenyewe bila kulazimishwa.

well said, hope itamsaidia.
 
...aiy---yaaaahhh! Self discipline inasumbua...
huenda hata Mods wakiku Ban, utakuja na ID nyingine,...!
Pole sana,....
Kamanda... this is what we call blame it on the rain or sunshine

Mapungufu yake anaseingizia JF

LOL
 
Je kweli we ni rijali?
Nimekaa Jamvini takribani miezi miwili ila naona maisha yangu ya ndoa yako matatani. Nachelewa sana kutoka kwenye shughuli zangu, ila nikifika nikisha pata chakula cha jioni nahamia kwenye laptop na kuhangaika kwenye jamii forum mpaka alfajiri. Mama hajapata haki yake tangu nijiunge na jamii forum. Nikisha kaa sibanduki mpaka alfajiri. Mida hiyo nikiomba mzigo mama hataki anasema kumekucha.

Naomba MODS mnitoe kwenye forum yenu nisije nikavunja ndoa yangu.

Byeeee.
 
Nimekaa Jamvini takribani miezi miwili ila naona maisha yangu ya ndoa yako matatani. Nachelewa sana kutoka kwenye shughuli zangu, ila nikifika nikisha pata chakula cha jioni nahamia kwenye laptop na kuhangaika kwenye jamii forum mpaka alfajiri. Mama hajapata haki yake tangu nijiunge na jamii forum. Nikisha kaa sibanduki mpaka alfajiri. Mida hiyo nikiomba mzigo mama hataki anasema kumekucha.

Naomba MODS mnitoe kwenye forum yenu nisije nikavunja ndoa yangu.

Byeeee.
Acha uwongo!
Mbona kwa miezi hiyo mi2 una posti 10 tu, huku ukilalama kwamba unakesha hapa, ina maana wewe huchangii kitu...sasa huwa unafanya nini, au huwa upo kule kwa Maria-Rozina?
Mpende mkeo bana...JF uliikuta na utaiacha!
 
Walewale wakusingizia vitu eti JF inakufanya usimpe haki yake mkeo?? Acha visingizio bwana wewe una kichenchede huko unamaliza haki yako halafu ukija home unajidai eti uko busy na laptop wizi mtupu huna lolote.
 
Acha uwongo!
Mbona kwa miezi hiyo mi2 una posti 10 tu, huku ukilalama kwamba unakesha hapa, ina maana wewe huchangii kitu...sasa huwa unafanya nini, au huwa upo kule kwa Maria-Rozina?
Mpende mkeo bana...JF uliikuta na utaiacha!
hahaha kuna watu hawabanduki kule lol..Maria rozina kiboko!
 
Nimekaa Jamvini takribani miezi miwili ila naona maisha yangu ya ndoa yako matatani. Nachelewa sana kutoka kwenye shughuli zangu, ila nikifika nikisha pata chakula cha jioni nahamia kwenye laptop na kuhangaika kwenye jamii forum mpaka alfajiri. Mama hajapata haki yake tangu nijiunge na jamii forum. Nikisha kaa sibanduki mpaka alfajiri. Mida hiyo nikiomba mzigo mama hataki anasema kumekucha.

Naomba MODS mnitoe kwenye forum yenu nisije nikavunja ndoa yangu.

Byeeee.
Wewe lazimas utakuwa ulikuwa unazama PM au kulewa wakubwa.... haiwezekani upende siasa, kiasi hicho.

mods hebu ban hii semegi
 
Duh Post kumi unaleta longo longo acha kuisingizia JF,ingekuwa Ruta wa Arusha ningeelewa kidogo.
 
Back
Top Bottom