Zitto alimtuhumu? Au wana lumumba wenzako baada ya kuona anawaumiza na kipindi chake? Zitto hakuwahi kumtuhumu bali alihojiwa na kamati. Kuhojiwa na kamati sio kutuhumiwa na ndio maana wao hawakumuona na tatizo ila mkaamua kibabe kumpeleka mahakamani, ameshinda kesi bado mnakata rufaa. Mkimfunga ndio wakulima wa Korosho wataacha kudai pesa zao?Ndipo ninapokuuliza kuwa ZItto alipokuwa Mwenyekiti wa PAC walimtuhumu pia huyu Tiddo na wakamuita kwenye kamati wakamuhoji, je nao walikuwa wanataka kumkomesha kisa aliwapa nafasi wapinzani?