Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni Nchi au Taifa?

Amavubi

JF-Expert Member
Dec 9, 2010
30,142
13,216
Kwa jinsi rasimu ilivyo nahisi JMT inatakiwa kuwa Taifa lakini tusaidiane maana rasimu inasema ni nchi na shirikisho lenye mamlaka kamili ambalo limetokana na Muungano wa nchi mbili, Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar

halafu hapo kwenye Muungano wa nchi mbili

kwa Tanganyika kuna maneno watu yameachwa Yaani Jamhuri ya Watu wa Tanganyika ilihali Zanzibar neno watu limo

Mapendekezo yangu JMT liwe Taifa na sio nchi
 
Tunafahamu tamisemi inahudumu Tanganyika (Tanzania bara) ambayo sio nchi. Nikwanini tunaambiwa waziri husika Ni WAZIRI WA NCHI wakati anahusika na sehemu ambayo sio nchi?? Kwanini asiitwe waziri wa Tanganyika tamisemi.
 
Kwa jinsi rasimu ilivyo nahisi JMT inatakiwa kuwa Taifa lakini tusaidiane maana rasimu inasema ni nchi na shirikisho lenye mamlaka kamili ambalo limetokana na Muungano wa nchi mbili, Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar

halafu hapo kwenye Muungano wa nchi mbili

kwa Tanganyika kuna maneno watu yameachwa Yaani Jamhuri ya Watu wa Tanganyika ilihali Zanzibar neno watu limo

Mapendekezo yangu JMT liwe Taifa na sio nchi

Being People's republic of Tanganyika or Republic of Tanganyika does not make any difference. Just two different names with the same meaning. Here is the difference between country (nchi), Nation (Taifa) and state as copied from somewhere: Country and State are synonymous terms that both apply to self-governing political entities. A nation, however, is a group of people who share the same culture but do not have sovereignty. Therefore JMT is nation with two countries sharing stupid cultures (hahaha). Does People's republic of Zanzibar has self-governing political entities? I am not sure..
 
Tunaomba tafsiri ya neno nchi na taifa na tofauti yake pliz.

Here is the difference between country (nchi), Nation (Taifa) and state: Country and State are synonymous terms that both apply toself-governing political entities. A nation, however, is a group of people who share the same culture but do not have sovereignty. Therefore Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania is nation with two countries sharing cultures and customs. The question is does People's republic of Zanzibar has self-governing political entities? How about Tanganyika?

Kwa kiswahili: Tofauti kubwa iliyopo kati ya nchi na taifa ni kwamba, nchi ni sehemu ya dunia na yenye watu wake wenye mamlaka kamili ya kisiasa na utawala. Taifa linaweza kuwa na zaidi ya nchi moja zilizoungana na kufuata mfumo mmoja wa maisha na utawala. Hata hivyo Taifa halitakiwi kuwa na mamlaka yake binafsi ya kiutawala wala kisiasa maana mamlaka hizo zipo kwenye nchi husika.

Kwa mfumo wetu wa Muungano inafanya tafsiri hii isiwe sahihi kwa 100%, wataamu watusaidie please
 
Kwa jinsi rasimu ilivyo nahisi JMT inatakiwa kuwa Taifa lakini tusaidiane maana rasimu inasema ni nchi na shirikisho lenye mamlaka kamili ambalo limetokana na Muungano wa nchi mbili, Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar

halafu hapo kwenye Muungano wa nchi mbili

kwa Tanganyika kuna maneno watu yameachwa Yaani Jamhuri ya Watu wa Tanganyika ilihali Zanzibar neno watu limo

Mapendekezo yangu JMT liwe Taifa na sio nchi
Tanzania ni usanii, mazingaombwe yanayolindwa kwa nguvu za kijeshi na propaganda za vitengo.
Kulingana na kauli ya Magu ya kutokuwa na mamlaka ya kuingilia "uchaguzi wa Zanzibar" ni wazi Tanzania si Nchi moja.

Pia kuna mambo yanayoitwa ya muungano na mambo yasiyo ya muungano. Hii maana yake ni kuwa Tanzania kisheria ina mamlaka za kisheria tatu, 1.Mamlaka ya mambo ya muungano,2. Mamlaka ya mambo ya Tanganyika na 3. mamlaka ya mambo ya Zanzibar.

Mamlaka moja na mbili zimewekwa kwenye Serikali ya Muungano na kuzalisha ugumu na utata na mamlaka ya Tatu imewekwa kwenye serikali ya Zanzibar.
Hali hii imepelekea kuzaliwa kwa kero za muungano na kila kero moja inapopatiwa ufumbuzi, mamlaka ya Zanzibar inapokwa mamlaka yake na kuifanya mamlaka hiyo kuwa dhaifu.- Issa Shivji

Link1. Tundu Lissu na Kiinimacho cha Muungano

Link 2 Tundu Lissu atikisa Bunge

Link 3. Kwanini CCM inaogopa Ushindi wa Maalim Seif (UKAWA) Zanzibar?

Link4. Tanzania Kwanza, Tanganyika Kabla

Link5. Hoja Mbadala: Katiba Ya Muungano Kuja Kabla ya Katiba ya Tanganyika (Tanzania Bara) ni Makosa!

Tanzania ni Tanganyika iliyovaa koti la Muungano- Tume ya Warioba.
 
Kwa jinsi rasimu ilivyo nahisi JMT inatakiwa kuwa Taifa lakini tusaidiane maana rasimu inasema ni nchi na shirikisho lenye mamlaka kamili ambalo limetokana na Muungano wa nchi mbili, Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar

halafu hapo kwenye Muungano wa nchi mbili

kwa Tanganyika kuna maneno watu yameachwa Yaani Jamhuri ya Watu wa Tanganyika ilihali Zanzibar neno watu limo

Mapendekezo yangu JMT liwe Taifa na sio nchi
Leo Tarehe 26 April, 2020 ni sikukuu ya Muungano, sikukuu hii ndio sikukuu muhimu kuliko hata uhuru kwasababu hii ni siku JMT ilipozaliwa. Lakini kutokana na janga hili la Corona, siku hii inaadhimishwa kimya kimya.
Naawatakia Muungano mwema huku nikisisitiza
Nautakia huu muungano wetu adhimu udumu milele na hivyo kukitokea yoyote anayetaka kuuchokoa muungano, namshauri chokochoko amchokoe pweza, muungano hutauweza kwasababu tutaulinda kwa gharama yoyote.
Nawatakia muungano mwema.
P
 
Back
Top Bottom