Kuna wengine wakisoma hii taarifa wanaugua presha!
Nchi tajiri inasaidiwaje?Vizuri. zile kelele za kuwa tz isipewe misaada/mikopo zije hapa zitoe ya moyoni.
Wenye mtindio wa ubongo husomeshwa sio kwa ubora wa akili zao.mataifa makubwa huwa yanatoa misaada kwa nchi zenye viongozi serious kama magufuli
Tongue twisters hamuishiwi kubweka.Uengereza nao wamebanwa na EU wanaanza kutafuta soko nje. H ha ha ha
Wajerumani wamewakali vibaya mno wa English
umeona eeh..habari mbaya sana hii kwa mange kimambi na genge lakeKuna wengine wakisoma hii taarifa wanaugua presha!
Tongue twisters hamuishiwi kubweka.