Jamhuri: Mo Dewji alikuwa na Microchip iliyokuwa ikirekodi kila kitu na kutuma London Uingereza. CIA wanachunguza kimya kimya

Manyerere Jackton umeandika mambo ya hovyo wanaweza kuatharisha Maisha ya Mo Dewji bila wewe kufahamu au kwa kufahamu. Hayo uliyoandika yanatosha, muache apumzike!
 
Camera, Kofia,saa,nguo,kalamu,nk zenye camera zipo tele zinatumia betri ndogo za saa

Wengi hawajui hilo nalo ni jambo. Nimewahi kumwona jambazi akiokotwa ka ndezi katikati ya watu kwa tendo la kumnyang'anya mzungu akiendesha baiskeli barabarani.
Aliyesema kuwa picha zilipigwa walidhani kuwa MO alikuwa na kamera ya HITACHI na mkanda wake. Poleni.
Mbona mmekuwa wavivu wa kufikiri?? Jiulize, Waliomteka walikuwa wanacheza mchezo wa kitoto?? Umteke mtu, ukae naye siku 9 umrudishe kwao bila hata kupokea shs 10?? Haiingii akilini. Hivyo, MO aliamua kwenda nao ili awakomeshe ujinga wao. Ati mtembee na walinzi!! Ili muwaondoe uhai mapema?? Hapana. Sasa, acheni utekaji kwani mnajimaliza wenyewe.
 
Hakuna microchip inayopiga picha bila camera. Microchip inahifadhi data zilizoingizwa ziwe picha, video au maandishi. I stand to be challenged
Wanawafanya Watanzania kuwa mazwazwa! Microchip ya kupiga picha labda alifungiwa kwenye macho. Tatizo waandika habari wanadhani udaku unaweza kusaidia watu wasihoji.
1. Microchip iliyofungwa mwilini haiwezi kupiga picha iwe iwavyo.
2. Microchip zinazofungwa mwilini hutuma taarifa kutegemea eneo na satellite (GPS) hivyo basi aliyefungiwa microchip anaweza kujulikana alipo lakini si kutuma picha wala sauti.
3. Waandika habari makada waache porojo kwenye mambo ya msingi.
Habari hii haitofautiani na wale wanaoacha ubunge ili wagombee ubunge ili kuunga mkono JUHUDI ZA MKUU.
 
Gazeti la Jamhuri limeandika kuwa, Mfanyabiashara maarufu nchini aliyekuwa ametekwa, ana microchip mwilini iliyomsaidia kurekodi matukio yote yaliyokuwa yakifanyika tangu kutekwa kwake katika Hoteli ya Colosseum, jijini Dar es Salaam.

Hahahahahah! Kuna mtu kaamua kufanya wasiojulikana wakose usingizi na kuingiwa na diarrhea ya ghafla. Microchip imerokodi, duh, I say, hii kali.

Na hao waliokuwa wamemweka microchip wakawa wanasubiri tu siku zote hizi bila kufanya chochote? Hata gari yangu yenye GPS ikibiiwa inatafutwa haraka ili ipatikane ndani ya masaa 12!
 
Hakuna microchip inayopiga picha bila camera. Microchip inahifadhi data zilizoingizwa ziwe picha, video au maandishi. I stand to be challenged
Kabisa nakubaliana na wewe!. pia data download sio kila sehemu maana aina power ya kutransmit hivyo wanavyotaka hawa Tanzanite tuelewe, sijui huyu Mwandishi amesoma nchi gani maana da sio kwa uabunuasi huu

A human microchip implant is typically an identifying integrated circuit device or RFIDtransponder encased in silicate glass and implanted in the body of a human being. This type of subdermal implant usually contains a unique ID numberthat can be linked to information contained in an external database, such as personal identification, law enforcement, medical history, medications, allergies, and contact information.
 
Ha ha haaa kwa maana ya hili gazeti wanaoamini hii habari ndo hao hao wanaoendelea kuamini kuwa chama chao kitatawala daima na milele
 
Baadhi ya waandishi wa habari na wahariri hawaitendei haki taalum hi ya uandishi wa habari na hata utangazaji hivi vi short course vya wiki 2 mtu tayati anakuwa mwandishi wa habari ni tatizo sana. Maana miruzi imekuwa mingi kiasi kwamba mbwa wanapotea sasa.
 
Hii ni habari katika gazeti la Jamuhuru la la Oktoba 23-29,2018 toleo namba 369.

Kwa mujibu wa gazeti, kifaa hiki kimerekodi kila walichofanya watekaji na taarifa imetumwa London-Uingereza, New York Marekani na Johannesburg-Afrika kusini.

JAMUHURI lilizungumzza na mazizi wa Mo, Gullam Dewji na kumueleza kuwa Mo anayo microchip iliyorekodi tukio lote la utejaji wake naye akasema:"Wewe umeambiwa na nani?...Sasa utaleta matatizo.Mo hana hiyo chip," amesema na kukata simu.
 
Hii ni habari katika gazeti la Jamuhuru la la Oktoba 23-29,2018 toleo namba 369.

Kwa mujibu wa gazeti, kifaa hiki kimerekodi kila walichofanya watekaji na taarifa imetumwa London-Uingereza, New York Marekani na Johannesburg-Afrika kusini.
Sasa ndiyo wataaibika, sijui wataficha wapi sura zao
 
Back
Top Bottom