Qwy
JF-Expert Member
- Nov 23, 2018
- 6,238
- 31,148
Huu ndiyo ukweli, walimfanya mbuzi wa kafara ili kupunguza kelele.Tibaijuka aliwajibishwa kwa sababu mtumishi wa umma hasa kwenye ngazi ya uwaziri anayehusika katika kumshauri Rais, kutunga sera na kufanya maamuzi makubwa kuna taratibu zake za kupokea na kuripoti zawadi kutoka kwa watu/mashirika/kampuni binafsi ili kuondoa migongano ya maslahi.
Tibaijuka hakuwajibishwa kwa sababu amehusika na wizi bali kwa sababu ya taswira mbaya ya kisiasa, na pia alifanywa kama mbuzi wa kafara tu kwa ajili ya kuzuia kelele zisiendelee.