Acha wapige.

Mtu yeyote mwenye nafasi kama hatapiga hela atakuwa ni mpumbavu wa hali ya juu sana.

Namshangaa sana Mbowe ana kila kitu sasa anapata tabu yote kisa kumpigania mtz? Mtz yupi?

Ukirejea hoja za wanachadema enzi za Jk juu ya Rugamalila na sasa aisee..

Narudi! Mtu mwenye nafasi hapa nchini kama hatapiga hela atakuwa mpumbavu sana.
 
wakati wa sakata maarufu kama escrow ambalo liliwapatia hawa ndugu zetu mabilioni..kulikuwa na pande mbili zikibishana.
upande wa kwa kwanza ulikuwa wa serikali ukiongozwa na aliyekuwa kiongozi mkuu wa serikali waliosema "hiyo pesa siyo ya umma"
upande wa pili ulikuwa wa wabunge wengi wa kipindi hicho wakati Bunge likiwa bado Bunge la wananchi likiongozwa na mama semamba na baadhi ya viongozi wa serikali...hawa walisema " pesa hizo ni za umma"
mabishano hayo yaliendelea kwa kipindi kirefu sana..hata hivo waliokuwa wanasema pesa si ya umma walikuwa wanaongoza serikali,basi watuhumiwa hawakufanywa kitu chochote
Baada ya muda,baadhi ya waliokuwa wanaamini kuwa pesa ile ni ya umma,wakashika madaraka 2015, wakawatia ndani watuhumiwa kutokana na imani waliyokuwa nayo kuwa pesa ni ya umma
kwa bahati nzuri kwa watuhumiwa,baadhi ya wale walioamini kuwa pesa ni ya umma, hawapo tena madarakani, madaraka yamerudi kwa wale walioamini kuwa pesa si ya umma,hapo lazima huyo DPP aagizwe asiendelee na kesi.
tusubiri watakapoingia madarakani wale wa imani ile nyingine,labda DPP ataagizwa tena aone sababu ya kuendelea na kesi
Lakini hata hivo mjadala unapaswa kuanza tena kuwa ile pesa ilikuwa ya umma au siyo ya umma, na wala siyo kuimba wimbo wa DPP ambao tunaamini ameagizwa aimbe walau kwa sasa
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
wakati wa sakata maarufu kama escrow ambalo liliwapatia hawa ndugu zetu mabilioni..kulikuwa na pande mbili zikibishana.
upande wa kwa kwanza ulikuwa wa serikali ukiongozwa na aliyekuwa kiongozi mkuu wa serikali waliosema "hiyo pesa siyo ya umma"
upande wa pili ulikuwa wa wabunge wengi wa kipindi hicho wakati Bunge likiwa bado Bunge la wananchi likiongozwa na mama semamba na baadhi ya viongozi wa serikali...hawa walisema " pesa hizo ni za umma"
mabishano hayo yaliendelea kwa kipindi kirefu sana..hata hivo waliokuwa wanasema pesa si ya umma walikuwa wanaongoza serikali,basi watuhumiwa hawakufanywa kitu chochote
Baada ya muda,baadhi ya waliokuwa wanaamini kuwa pesa ile ni ya umma,wakashika madaraka 2015, wakawatia ndani watuhumiwa kutokana na imani waliyokuwa nayo kuwa pesa ni ya umma
kwa bahati nzuri kwa watuhumiwa,baadhi ya wale walioamini kuwa pesa ni ya umma, hawapo tena madarakani, madaraka yamerudi kwa wale walioamini kuwa pesa si ya umma,hapo lazima huyo DPP aagizwe asiendelee na kesi.
tusubiri watakapoingia madarakani wale wa imani ile nyingine,labda DPP ataagizwa tena aone sababu ya kuendelea na kesi
Lakini hata hivo mjadala unapaswa kuanza tena kuwa ile pesa ilikuwa ya umma au siyo ya umma, na wala siyo kuimba wimbo wa DPP ambao tunaamini ameagizwa aimbe walau kwa sasa
Fair analysis.
 
Kwa nini hakuyafunga wakati wake? Miaka minne alikuwa anasubiri nini hadi akafa?
Watanzania hatuna jema
Yule aliyepinga wizi leo majizi yanaachiwa tu.
Hakuna anayejali.
Tz ni kichwa cha mwenda wazimu, maendeleo tutabaki kuyasikia tu.
 
Unajua shida ni kuwa sisi ndio tulitaka waliohusika wawajibishwe.
Na kufanya hivyo kikwete alimfuta uwaziri mama tibaijuka.
Anyway, nilichoona wengi hatupo serious. Hii itapelekea nchi kuendelea kuibiwa maana wanajua hakutakuwa na kesi Wala kufungwa
Huwezi kumuwajibisha mtu bila ushahidi na ndio maana Sethi na Ruge wamekaa miaka minne mahabusu bila kufungwa. Kama ushahidi ungekuwepo kwa namna jiwe alivyokuwa amewapania wangekuwa wameshapewa hukumu zao muda mrefu sana.
 
Shida ilikuja pale tulipotaka waliohusika wawajibishwe, nadhani unakumbuka mkutano ule wa bunge ulienda hadi saa 4 usiku, huku mbowe akitahadharisha kuwa tutaenda kuwa failed state.
Baada ya muda kikwete alimuwajibisha mama tibaijuka.
Ikiwa hakukuwa na shida basi tuseme tulikosea kuomba waliohusika na escrow kuwajibishwa, na mama tibaijuka aombwe msamaha kwa kufutwa uwaziri
Tibaijuka aliwajibishwa kwa sababu mtumishi wa umma hasa kwenye ngazi ya uwaziri anayehusika katika kumshauri Rais, kutunga sera na kufanya maamuzi makubwa kuna taratibu zake za kupokea na kuripoti zawadi kutoka kwa watu/mashirika/kampuni binafsi ili kuondoa migongano ya maslahi.

Tibaijuka hakuwajibishwa kwa sababu amehusika na wizi bali kwa sababu ya taswira mbaya ya kisiasa, na pia alifanywa kama mbuzi wa kafara tu kwa ajili ya kuzuia kelele zisiendelee.
 
Shida ilikuja pale tulipotaka waliohusika wawajibishwe, nadhani unakumbuka mkutano ule wa bunge ulienda hadi saa 4 usiku, huku mbowe akitahadharisha kuwa tutaenda kuwa failed state.
Baada ya muda kikwete alimuwajibisha mama tibaijuka.
Ikiwa hakukuwa na shida basi tuseme tulikosea kuomba waliohusika na escrow kuwajibishwa, na mama tibaijuka aombwe msamaha kwa kufutwa uwaziri
Wizi wa Escrow haukuwa katika pesa kutoka bali ulisukwa kitaalamu kwenye mikataba ya IPTL na Tanesco na migogoro kati yao.
 
Kwa nchi hii ilivyo hasa wakati ule wa awamu ya 4, ni vigumu kwangu kuamini kuwa hawa majamaa walibambikiwa kesi. Kapuku kama mimi nawewe kushangilia kuachiwa kwao ni mapema sana, ngoja Lissu aje atupe za ndani ndani. Tumezoea kupigwa na tuendelee kupigwa. Upinzani una ajenda nzuri za kampeni 2025. Na kwa speed hii mgombea yeyote wa CCM akipata 50% aende kwa mganga!

DPP mpya kasimikwa, mwanasheria mkuu mpya kasimikwa leo kesi iliyokuwa ngumu kama chuma inalainishwa kama keki...Mmmmmmmm. Watanzania ndio waliwao.
Kama Miaka minne wameshindwa kupata ushahidi wa kutosha kuwafunga Sethi na Ruge unafikiri walihitaji miaka mingapi zaidi?

Chadema hawataki huo mtindo wa kuwa na makosa yasiyo na dhamana, wanataka makosa yote yawe na dhamana.
 
Besti kufa kufaana. Ila najiuliza Jiwe alishindwa kweli kumpora hela zake hadi yeye akubali? Kama TRA tu walipora hela st jude account bila ridhaa yao Jiwe angeshindwa kwa rugee kweli?
Labda pesa zake alizificha huko kwenye akaunti za nje ya nchi.
 
Tupate katiba mpya.
Itatuchukua miaka mia 100 kupevuka kiakili. Afungwe asifungwe si jambo linalonihangaisha mimi sana. Kwangu ni kuona haki inatendeka na mahakama ndio chombo kinachotoa haki. Chombo hiki kikijikita na kuendeshwa kisiasa tumekwisha. Tukaweka ushabiki mbele kwa kitu tusichokijua ni akili ya ujima.

Maamuzi ni yetu, kama tumeridhika baada ya miaka 60 kuishi hivi tunavyoishi au kuwawinda wanaochelewesha maendeleo yetu.
 
Kina seth wamelipwa so wao ni wanufaika tu ila issue ni nani aliyewalipa? Nani aliyekubali malipo wanayodai ya kifisadi kutolewa? BOT na wizara ya fedha wanaponaje? Vipi TRA ambao hawakuona hta capital gain tax ya kukata??

Walishinikiza sana kina Lissu toka siku ya kwanza Seth anakamatwa ila kimyaa watu wakadai anapinga kila kitu. Leo yakwapi sasa? Wameshindwa leta ushahidi mwaka wa 5 huu maana mafisadi ya kweli yapo CCM na serikalini na ndio yaligawana pesa kwenye masandarusi!!

Kuna quote moja inasema "Serikali huamua nani ni adui wa nchi kulingana na maslahi yake kwa wakati huo" So mnaweza iba 10 ila ukakamatwa mmoja tu sababu hao 9 wana maslahi na serikali so wana haki kuliko wewe!!!

That's politics
Huo ndio ukweriii ndugu zangu
 
Trial by court of public opinion

Hiyo ndio sababu iliyofanya serikali ilazimishe kesi na mzee wa watu kuteseka bila ya ushahidi wa tuhuma.

Watu wakulaumu Zitto, Kafulila, Lissu, CAG wa muda ule na media; kuwalisha watu uongo.

Rugemalila is no angle na PPP ya IPTL na TANESCO haikupitia mchakato halali, wala uamuzi wa kuipa kazi aukuwa na faida kwa taifa.

But it was all legal na hela zilizokuwa kwenye escrow account zilikuwa ni za IPTL.

Sasa nani alikuwa anamiliki IPTL hapo ndio ilikuwa shida mpaka mahakama ilipoamua.

Hii nchi inabidi uwe makini sana na wanasiasa wanaweza kukutengenezea mazingira siyo kabisa.

JK alishaeleza zile sio hela za serikali ni za IPTL.
Wewe kilaza, Zitto, Kafulila, Lissu na CAG ndio waliomuambia DPP awakamate Sethi na Ruge? Mbona basi hawakukamatwa enzi za JK wakaja kukamatwa na kuwekwa gerezani bila hukumu enzi za utawala wa giza wa jiwe?
 
Mwambieni huku nje kuna hukumu ya COVID-19.

Asifanye mzaha, hukumu hiyo haitenguliwi na yeyote.

Tanzania imekuwa nchi ya kuoneana kwelikweli, sijui tutafika wapi na hali ya namna hii!
Gerezani ndio ilikuwa mahali rahisi zaidi kwake kupata hukumu ya COVID-19, huku nje ataagiza Chanjo ya Moderna kutoka US dk 0
 
Hakuna aliye-mind ila tu nikutahadharishe kuwa kuna Magufuli wengi mno wenye misimamo kuliko mwenda zake. So, take care usijisahau sana. Kujua wapo wapi kwa sasa na wanafanya nini, sio kazi yako.

Kujua ni baada ya muda gani watatokea, sio muda wako. Jua tu wapo na kuna hatari kubwa mbele.
Huu ni ukweli mchungu wengi hawataki kuuona, kuusikia au wamesahau.
 
Back
Top Bottom