James Mwakibinga amuomba radhi Dr Nchimbi juu ya uzushi aliomzushia wakuhujumu mali za CCM

gimmy's

JF-Expert Member
Sep 22, 2011
3,283
3,274
Itakumbukwa mwaka jana kada wa CCM alitoa tuhuma dhidi ya Dr Emmannuel Nchimbi kwamba amejimilikisha floor moja kwenye jengo la umoja wa vijana sambamba na kujigawia viwanja 200 mali za CCM tuhuma ambazo amekiri kwamba hazikuwa za kweli.

Kutokana na tuhuma hizo Dr Nchimbi alifungua shauri mahakamani kwakuchafuliwa jina lake kesi ambayo shauri lake bado lilikua likiendelea kusikilizwa.

Kutokana na kada huyo kumuomba radhi Dr Nchimbi,wakili wa Emmannuel Nchimbi ameahidi kufanya mawasiliano na Dr Nchimbi ili waweze kuifuta kesi hiyo.

Chanzo Channel ten.
 
Huyo Mwakibinga ni kifaranga, mnamjua Mama mtu? Nchimbi ataachana tu na hiyo kesi maana kifaranga ametumwa tu yeye na Nchimbi analijua hilo maana yeye ni jasusi mzuri sana
 
Nchimbi hanaga mambo ya kipuuzi, kwa jinsi nimjuavyo alisha msamehe, Na pia alisha Msamehe bure ndugu yetu [HASHTAG]#Lizabon[/HASHTAG]
 
Hao waarabu wapemba,mtu useme mwenyewe halafu ukubali kua sio hivyo ulivyosema kuna walakini... ndo pale Mpoto anaposema nauli imemshinda maana watu wenyewe hawaaminiki..
 
Mwakibinga mnajifanya mnajua majungu Na matusi oho Nchimbi kajimilikisha floor nzima utadhani wewe ndio ulimmilikisha Aibu umripata mwanaume mzima majungu
 
Who is Mwakibinga, nimeona picha zake twita ni kajamaa flani kachafu kachafu hiviiii,,,,,,nao waandishi wakiitwa na wajinger km huyu wanaenda msikiliza?
 
Kwani Mwakibinga ameshapewa ka cheo flani njaa iishe? Maana shida ni njaaa mweeeee!!! Nchii hiii Lumumba njaaa mweee
 
Michezo ya CCM kama ya wauza unga, wanakua na Urafiki Kwa terms maalum tu!!/
 
Back
Top Bottom