Stupid thread...... what a breaking new?
Olemilya ndie anayejua dhamira yake, apewe kazi ngumu kama ya Lema Kumpima. Azunguke nchi nzima kuhamasisha wana CCM kufuata nyayo.
Naunga mkono hoja, tena apewe kanda ya pwani kwa kuanzia!
Nilianza kukuamini lakini ulipoandika hapa chini imani yangu ikaisha.kuhusu lowassa kuhamia cdm jibu ni BIG NO! INTELLIGENSIA INAONYESHA KUWA HAJAWAHI HATA KUONGEA NA CDM KUHUSU HILO HADI LEO MAJIRA YA ASUBUHI NINAPOONDIKA HII THREAD, HIVYO HAJI CDM
Aje alete chapaaaa tujenge chama then tunamfukuzia mbali kama wakati wa mrema na nccr, teh! Teh!teh!
unamaanisha nini unapoandika neno BREAKING NEWS!!??
Millya ni sehemu ya mkakati wa CCM kuiua Chadema Arusha...haya ni maoni yangu.
Namna pekee ya CCM kuijua mikakati ya CDM kwa undani ni kuwa na mtu wao miongoni mwa wana CDM.
Ikumbukwe mikakati ya CDM kushinda jimbo la Arumeru Mashariki ilikuwa ya kuishtukiza CCM na hawakuwa wamedhani CDM wangeweza kuwa nayo.
Millya ni kijana mwenye akili na haitamchukua muda, akiwa CDM, kuing'amua mikakati hiyo.
Chonde chonde viongozi wa CDM, msije mkamkaribisha chui huyo aliyevaa ngozi ya kondooo
CDM mmejitambulisha kama chama kinachochukia ufisadi wa aina zote...tafadhali msipokee watu wenye tuhuma.
Mnahitaji bado imani yetu na zaidi sana kura zetu
Hapana, watu wa Pwani wagumu sana kubadilika sababu kielimu bado tupo nyuma sana. Pia huku Pwani tunahitaji muislam ili kutushawishi kuingia CHADEMA, si mkristo. Profesa Safari, Zitto na wengineo wakizungukia mikoa ya pwani pwani yote, 2015 LAZIMA CDM ichukue nchi.Naunga mkono hoja, tena apewe kanda ya pwani kwa kuanzia!
CDM imekua chama cha kidini kwa hiyo? kundi la Mungu likiongozwa na mdini Mtei, na padri SLaa au unataka tuelewe vipi?
EL akihamia CHADEMA anakuwa mtakatifu? Au akitumia pesa zake za kifisadi akiwa ndani ya CHADEMA zinakuwa clean money? The day that happens nitaichukulia kama siku ya msiba kwa nchi yangu. Itadhihirisha unafiki wa CHADEMA.Ni dalili kwamba Karibu Lowassa atahamia chadema baada ya nguvu yake kupunguzwa Arumeru kamtanguliza kijana ....tingatinga ..... kusafisha njia. Nguvu yao ndani ya CCM inazidi kuisha ni ruksa kuondoka.
Millya ni sehemu ya mkakati wa CCM kuiua Chadema Arusha...haya ni maoni yangu.
Namna pekee ya CCM kuijua mikakati ya CDM kwa undani ni kuwa na mtu wao miongoni mwa wana CDM.
Ikumbukwe mikakati ya CDM kushinda jimbo la Arumeru Mashariki ilikuwa ya kuishtukiza CCM na hawakuwa wamedhani CDM wangeweza kuwa nayo.
Millya ni kijana mwenye akili na haitamchukua muda, akiwa CDM, kuing'amua mikakati hiyo.
Chonde chonde viongozi wa CDM, msije mkamkaribisha chui huyo aliyevaa ngozi ya kondooo
CDM mmejitambulisha kama chama kinachochukia ufisadi wa aina zote...tafadhali msipokee watu wenye tuhuma.
Mnahitaji bado imani yetu na zaidi sana kura zetu
CCM is not used to Majembe... Milya ni mashine hivyo hawezi kufit kwenye agenda ya CCM
Sintashangaa vijana kama akina Mpoki, Gambo, na hata January kuhamia CHADEMA
EL akihamia CHADEMA anakuwa mtakatifu? Au akitumia pesa zake za kifisadi akiwa ndani ya CHADEMA zinakuwa clean money? The day that happens nitaichukulia kama siku ya msiba kwa nchi yangu. Itadhihirisha unafiki wa CHADEMA.
Lowassa hataihama ccm kamwe. atakachoweza kufanya ni kufanya alichofanya Rostam.
Lowassa anataka kutimiza ndoto yake ya kuiua chama akiwa ndani ya chama.
LOWASSA AKIHAMIA CHADEMA NARUDISHA KADI. CHADEMA SIYO PANGO LA MAFISADI[/QUOTE]
Sawa kabisa mkuu Mungi. Tutarudisha kadi wengi maana tunaipenda CDM sababu ya kupiga vita ufisadi. Wakimpokea hatuta waelewa. Any way nina imani hawatampokea kufuatana na kauli ya mwenyekiti Mbowe kwamba watawpokea wale ambao ni wasafi. Kwa kauli hii EL hana nafasi CDM.
kwa jinsi Magamba wanavyochukia BABY SKIN, jamaa akitangaza 2 leo uamuzi kesho utasikia kesi ishatinga mahakamani ya uporaji wa mali ya umma. Ila katika sakata la Rashid ulikuepo uvumi wa El kuwapo nyuma ya uasi ktk mbio za kusaka saluti na ziara nyingi za nje. Si ajabu akatua ADC maana njia ya ccm imekua tafu sana.
Amesharudi mpokee sasaStupid thread...... what a breaking new?