James Mbowe, babu yako kushikana mikono na Mwalimu Nyerere ndiyo sababu ya kufanya mnayofanya?

comte

JF-Expert Member
Dec 11, 2011
8,211
5,937
"Baba wa Taifa Julius Nyerere akisalimiana na Baba yake Mbowe Aikaeli Alfayo Mbowe Tuna Historia na Nchi hii nafikiri kipindi hiki kuna watu walikuwa wanachunga Mbuzi makwao" - James Mbowe

1629374137056.jpeg
 
You filth doomed, give us a break. We are tired of your barbaric satanism. Enough is enough!. If you can not stay with diverse personalities, go to your peers in Afghanistan. Tanzania is a free country where peace, respect, and unity have been our pillars since ever. Not you or any of your like will be allowed to destroy our unique country. We are fade up!
 
Kwa hiyo kushikana mkoni na Nyerere ndio kuwa na historia na Tanzania ? Huyu dogo ana uwezo mdogo sana wa kufikiri. Ni sawa na wazaramo wakijisifia wazee wao waliwahi kuishi Kkoo wakati saivi wote wamehamia Bagamoyo huko.

Pili, kusema kuna watu walikuwa wanachunga mbuzi ni ishara ya majivuno ya kishamba, hata huyo Nyerere wanayejivunia kumshika mkono alichunga mbuzi kabla ya kuja mjini, familia ya Mbowe itafute mtu mwenye akili timamu kuwawakilisha, huyu dogo hamna kitu kichwani.
 
Haohao wachunga mbuzi ndo baba yako huzunguka akiwaomba Kura ya chama chake.

Ruzuku mnazotafuna ni matokeo ya Kura za wachunga punda, mbuzi.
 
Familia ya Mbowe imeshiriki kuleta UHURU,Mbowe ana roho ya ukombozi.
Matajiri wa kichaga ndio walimchangia Nyerere nauli ya kwenda USA kupewa mamlaka ya kuongoza nchi.
 
Kwani kuchunga mbuzi ni kazi ya kudharauliwa? Lah hasha.wengine tumesomeshwa na kuchunga mbuzi za wazazi wetu.mzazi anauza mbuzi unapata ada ya shule.so what matters is what you are doing for your country.
 
Wacha Sheria ichukue mkondo wake,yeye atulie tu!
Mbowe afadhali ya Sabaya maana Sabaya anapambana mwenyewe LAKINI Mbowe familia nzima iko front. Yaani kushikana mikono na mwalimu ni utetezi wa ajabu sana
 
Back
Top Bottom