laki si pesa.
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 10,003
- 9,731
Mbatia : Trilioni nne zimetumika kwa ajili ya safari za jk nje ya nchi
Hivi kwanini mbatia anavunja sheria za uchaguzi kwa kupiga kampeni mpaka saa hizi anaachiwa tu? Halaf wa ccm akizidisha dakika 5 mnaandamana .pumbavu sana
Mafisadi yamejaa ccm ,escrow,epa, kuuza nyumba za serikali kwa bei ya bure,, mfumo wote wa ccm umejaa mafisadi
hapa kazi tu saa 4 usiku kuna match ya man u
Mbatia : Trilioni nne zimetumika kwa ajili ya safari za jk nje ya nchi
Mbatia usitufikilie kuwa sisi ni majuha jangwani tumemsikia lowasa akisema atawatoa mashekhe ukaja kutufanya sisi hatujui kuchambua maneno ya watu wanapoongea
Pia kaenda kuomba kura kanisani wewe waja na mambo mengine kama ndivyo? "Rais wa kwanza mkatoriki,wapili mkatoriki na sasa ni zamu ya warutheli huyo haihitaji hata Elimu ya form four kufafanua mambo hayo sisi sio wageni hadi ututafasiloe
Suala la majenereta si walisema watatumia siku saba kuingiza gesi kwenye mitambo sasa vipi tena wakate umeme aaaaagh!