James Mbatia: Ufanisi na kuaminika Serikali ya awamu ya sita umeondoka kabisa

Replica

JF-Expert Member
Aug 28, 2017
1,441
7,780
Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi, James Mbatia amesema Ufanisi na kuaminika serikali ya awamu ya sita umeondoka kabisa pia Mbatia amesema kuna mpasuko mkubwa Serikalini.

Mbatia amedai kukosekana kwa uchaguzi mwaka jana kumeleta matatizo mengi na hali sio nzuri.
 
Mbatia huwa yupo accurate sana. Akizungumza huwa anatumia utulivu sana wa kifikra na busara.
 
Ndio tatizo la kuongozwa na mtu anayebridi kila mwezi,kila baada ya hedhi akili inaanza kusoma 0 kwenye kichwa yake,ndio maana hata viongozi aliowaamini na kuwapa wizara anawatoa ufahamu kwenye majukwaa ya kimataifa,ama hakika hapa tuna kivuli cha rais tu.
 
Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi, James Mbatia amesema Ufanisi na kuaminika serikali ya awamu ya sita umeondoka kabisa pia Mbatia amesema kuna mpasuko mkubwa Serikalini.

Mbatia amedai kukosekana kwa uchaguzi mwaka jana kumeleta matatizo mengi na hali sio nzuri.
Baaday ya kumleta makamba ikabidi nivyuo na jazz yangu kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom