Ranks
JF-Expert Member
- Oct 21, 2012
- 2,583
- 1,097
Mmh...Tutakwisha!
Nilimtazama Mbatia na Mchungaji wa kanisa wanavyotoa kauli zao kuweza kuwapa wana familia tumaini.,nikawahurumia kwani "ni dhahiri wanadhani wao wako salama."WANASAHAU HISTORIA YA NCHI NYINGINE ZILIZOPITA KUNAKO 'TRACK' HII TUIPITAYO".