ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 19,669
- 28,094
Huyu jamaa namfananishaga na Seneta wa Makueni Kenya Mutula Kilonzo ni kama Pacha vile.....hata uongeaji wao
Hujitambuiwalitarajia wataenda vile wanavotaka wao, hawajui kwamba yeye ndio Rais anaamua nini afanye na afanyeje, na mtu akimzengua na yeye anamzengua vilevile. poor DJ kule segerea, kumbe alitaka kulipua vituo vya mafuta? na ninakumbua vituo kama viwili viliripotiwa kulipuliwa kipindi kile kabla ya uchaguzi, kumbe yeye na Tundu lisu walikuwa wamepanga mpango ili kulazimisha ushindi na kama wasiposhinda wasababishe machafuko ya nchi watu wauane ili wao wapate vyeo mwisho wa siku. akanyee debe tu hamna namana.
Mbatia ulijitahidi sana kujipendekeza kwa Mama Samia ukitegemea atakuteua Viti Maalum vya Ubunge. Mbaya zaidi ulikuwa unajipendekeza kwa kumlinganisha na mtangulizi wake MWAMBA WA CHATO, imekula kwako bro mkeka umechanika
Unataka amtendee haki gani Gaidi?Tatizo la kutototenda haki, ni kuwa once unapoanza kutotenda haki, basi ama inabidi uendelee kutotenda haki ukiwa na illusion kuwa vitu vitakaa kwenye equillibrium, lakini havikai AU inabidi ushtuke uanze kurudi kwenye msitari.
It seems Samia moyo wake umeridhika na Kutomtendea haki Mbowe.
Lakini unfortunately asichokijua, Wananchi mamilioni kwa mamilioni wa Tayari wameshamchukia.
Huko ni kuligawa Taifa
Ugaidi wa kupigania haki ni ugaidi mzuri na wenye heshimaUnataka amtendee haki gani Gaidi?
Siku zote machizi huwa wanaamini kila wanayekutana naye ni chizi kama wao, na huwa hawajijui kama wao machini. that's the problem.Nampa pole sana mama yako kuzaa mapooza yaani kabeba mimba na leba kaenda halafu anazaa mtoto wa aina hii,mwenye akili hizi??
Hata kama una njaa please tumia akili zako otherwise uwe dishi limeyumba 92%
Mimi ni mzima, sijafa, na sitakufa kwa Jina la Yesu, ila wewe ushakufa zamaaani.Wewe ni mfu anaetembea, upo ila kivuli tu hamna kitu , anza kusali mkuu
Aya BWANA,mimi ni mzima, sijafa, na sitakufa kwa Jina la Yesu, ila wewe ushakufa zamaaani.
Wakamtengenezea na msemo kuwa ANAUPIGA MWINGI,sisi sasa MALAIKA waingilie kati watusaidie kutawala!Si mlisema mnamkubali, au hakuwa huyu, kuna mwingine anayekuja!???
Mbatia hivi ni kweli uliahidiwa nafasi za wabunge?
walitarajia wataenda vile wanavotaka wao, hawajui kwamba yeye ndio Rais anaamua nini afanye na afanyeje, na mtu akimzengua na yeye anamzengua vilevile. poor DJ kule segerea, kumbe alitaka kulipua vituo vya mafuta? na ninakumbua vituo kama viwili viliripotiwa kulipuliwa kipindi kile kabla ya uchaguzi, kumbe yeye na Tundu lisu walikuwa wamepanga mpango ili kulazimisha ushindi na kama wasiposhinda wasababishe machafuko ya nchi watu wauane ili wao wapate vyeo mwisho wa siku. akanyee debe tu hamna namana.
Si mlisema mnamkubali, au hakuwa huyu, kuna mwingine anayekuja!???
Propagandawangelipua vituo vya mafuta na kusababisha machafuko nchini mwaka jana, ungechinjwa kichwa chako hicho sijui hata hiyo keyboard ungeandikia kuzimu. walifanya move mbaya na wanatajiwa kujilaumu.