James Mbatia: Rais Samia mwanzo alitoa tumaini, sasa hivi mambo yanavurugika

Missile of the Nation

JF-Expert Member
May 24, 2018
13,498
51,092



========
Mtangazaji:
Wewe umeuonaje mpka sasa uongozi wa Mama Samia Suluhu Hassan?

James Mbatia: Ndugu Samia Suluhu Hssan aliingia madarakani ile tarehe 19/03/2021 na akala kiapo kwa taratibu ambazo zimeweka na akatoa ahadi ambazo tuliamini kwamba atazitekeleza na akatoa ahadi ya kukuza demokrasia hapa Tanzania na kukuza uchumi maana alikili kuwa uchumi uchumi wetu umeshuka.

Katika kuleta maendeleo endelea aliahidi kuliponya Taifa, kuponya majeraha yaani kulileta Taifa pamoja, lakini badala ya kulileta Taifa pamoja ameanza kulipalanganya tena, kwa mfano kauli yake aliyoitoa Morogoro kwamba kuna watu wamenza kuleta chockochoko, kuzungumza maedneleo ya nchi yako au kuwa na mawazo mbadala sio chokochoko ile ya kusema kwamba tujenge uchumi kwanza wakati yeye mwenyewe ametuandikia kwamba atakaa na wenzeke wana siasa tuzungumze madhila yaliyotokea huko nyuma na namna gani ya kulileta Taifa pamoja.

Mama aliahidi na ahadi ya muungwana ni vitendo usipojenga uaminifu watu wakishaanza kukushuku, ameongea na vijana. wazee, wakina mama na viongozi wa dini tunampongeza, amefika kwa wanasiasa anasema tusubiri kwanza tujenge uchumi, tujenge nchi Hayati Magufuli naye alisea hivyohivyo kuwa subirini nanyoosha nchi najenga uchumi. Yeye ameingia madarakani anasema uchumi umesinyaa, uchumi una hali mbaya ndiyo hayo mambo ya tozo anaweka sasa uchumi uko kwenye hoi bin taaban.

Namshauri ndugu Rais kuwa rasilimali iyokubwa kuliko zote duniani ni rasilimali watu. Rasilimali kubwa zaidi ni kuleta watu pamoja kwa ajili ya maendeleo endelevu alete watu pamoja. Lakini sisemi hivyo ila wapo vijana, swala la vijana kukosa ajira, umasikini uliokithiri na swala la tabaka la kubwa la watu kuwa hawana kitu na watu wache kuwa nacho. Pia swala la watu wengine kujina kama wao ndio wenye haki zaidi ukiwa upinzani wanakuona kama daraja la pili la kwanza ni wa chama tawala.

Tunaona Waziri Mkuu anafanya mikutano ya hadhara, Rais anafanya mikutano ya hadhara, sekretarieti ya CCM inafanya mikutano ya hadhara ila upinzani mnaambiwa mikuta ya hadhara hairuhusiwi hii nchi itakuwa ya aina gani? Mambo kama haya yanazidi kuligawa Taifa. Kariakoo imeungua moto ni majanga kwenye taifa, shule zinaungua moto ni majanga kwenye taifa na hatijaambiwa vizuri huku tuna COVID 19 mambo kama haya yanazidi kuleta chuki kwenye Taifa na watu watafany avitendo visivyostahili. Mtendee mwingine kama unavyotaka kutendewa.
 

Walitarajia wataenda vile wanavotaka wao, hawajui kwamba yeye ndio Rais anaamua nini afanye na afanyeje, na mtu akimzengua na yeye anamzengua vilevile.

Poor DJ kule segerea, kumbe alitaka kulipua vituo vya mafuta? na ninakumbua vituo kama viwili viliripotiwa kulipuliwa kipindi kile kabla ya uchaguzi, kumbe yeye na Tundu lisu walikuwa wamepanga mpango ili kulazimisha ushindi na kama wasiposhinda wasababishe machafuko ya nchi watu wauane ili wao wapate vyeo mwisho wa siku.
 
walitarajia wataenda vile wanavotaka wao, hawajui kwamba yeye ndio Rais anaamua nini afanye na afanyeje, na mtu akimzengua na yeye anamzengua vilevile. poor DJ kule segerea, kumbe alitaka kulipua vituo vya mafuta? na ninakumbua vituo kama viwili viliripotiwa kulipuliwa kipindi kile kabla ya uchaguzi, kumbe yeye na Tundu lisu walikuwa wamepanga mpango ili kulazimisha ushindi na kama wasiposhinda wasababishe machafuko ya nchi watu wauane ili wao wapate vyeo mwisho wa siku. akanyee debe tu hamna namana.
Ngoja tuone mwisho wa udhalimu wake.
 
Mwanzo alitumia mawazo yake, baadae kuna wenye chama wakamwambia nchi haiendeshwi kama unavyolea watoto nyumbani, hapo ndio "mama" akavaa ngozi ngumu.
Tatizo la kutototenda haki, ni kuwa once unapoanza kutotenda haki, basi ama inabidi uendelee kutotenda haki ukiwa na illusion kuwa vitu vitakaa kwenye equillibrium, lakini havikai AU inabidi ushtuke uanze kurudi kwenye msitari.

It seems Samia moyo wake umeridhika na Kutomtendea haki Mbowe.
Lakini unfortunately asichokijua, Wananchi mamilioni kwa mamilioni wa Tayari wameshamchukia.
Huko ni kuligawa Taifa
 
Tatizo la kutototenda haki, ni kuwa once unapoanza kutotenda haki, basi ama inabidi uendelee kutotenda haki ukiwa na illusion kuwa vitu vitakaa kwenye equillibrium, lakini havikai AU inabidi ushtuke uanze kurudi kwenye msitari.
It seems Samia moyo wake umeridhika na Kutomtendea haki Mbowe.
Lakini unfortunately asichokijua, Wananchi mamilioni kwa mamilioni wa Tayari wameshamchukia.
Huko ni kuligawa Taifa
Si mlisema mnamkubali, au hakuwa huyu, kuna mwingine anayekuja!??? :)
 
walitarajia wataenda vile wanavotaka wao, hawajui kwamba yeye ndio Rais anaamua nini afanye na afanyeje, na mtu akimzengua na yeye anamzengua vilevile. poor DJ kule segerea, kumbe alitaka kulipua vituo vya mafuta? na ninakumbua vituo kama viwili viliripotiwa kulipuliwa kipindi kile kabla ya uchaguzi, kumbe yeye na Tundu lisu walikuwa wamepanga mpango ili kulazimisha ushindi na kama wasiposhinda wasababishe machafuko ya nchi watu wauane ili wao wapate vyeo mwisho wa siku. akanyee debe tu hamna namana.
Mbona yana MWISHO, shabikia mtakavyo, kwamba yeye ndie ila yana MWISHO , that's tunataka katiba ili kuondoa Hili kwamba Rais ndo ndie na ndo KILA kitu,
 
Mbona yana MWISHO, shabikia mtakavyo, kwamba yeye ndie ila yana MWISHO , that's tunataka katiba ili kuondoa Hili kwamba Rais ndo ndie na ndo KILA kitu,
Wangelipua vituo vya mafuta na kusababisha machafuko nchini mwaka jana, ungechinjwa kichwa chako hicho sijui hata hiyo keyboard ungeandikia kuzimu. walifanya move mbaya na wanatajiwa kujilaumu.
 
Kutegemea huruma ya mwenyekiti wa CCM kuendesha mambo yenu ni kosa kubwa sana la kimkakati.
 
walitarajia wataenda vile wanavotaka wao, hawajui kwamba yeye ndio Rais anaamua nini afanye na afanyeje, na mtu akimzengua na yeye anamzengua vilevile. poor DJ kule segerea, kumbe alitaka kulipua vituo vya mafuta? na ninakumbua vituo kama viwili viliripotiwa kulipuliwa kipindi kile kabla ya uchaguzi, kumbe yeye na Tundu lisu walikuwa wamepanga mpango ili kulazimisha ushindi na kama wasiposhinda wasababishe machafuko ya nchi watu wauane ili wao wapate vyeo mwisho wa siku. akanyee debe tu hamna namana.
Mbowe kaingiaje kwenye hii thread? Aibu kubwa kwa mwanaume Kama wewe kila wakati kumuwazia mwanaume mwenzio. Hiyo Ni dalili ya ushoga!
 
wangelipua vituo vya mafuta na kusababisha machafuko nchini mwaka jana, ungechinjwa kichwa chako hicho sijui hata hiyo keyboard ungeandikia kuzimu. walifanya move mbaya na wanatajiwa kujilaumu.
Wewe ni mfu anaetembea, upo ila kivuli tu hamna kitu , anza kusali mkuu
 
Back
Top Bottom