Gomvu
Senior Member
- Oct 21, 2014
- 135
- 27
Hata Lowasa na sumae wanahusika.Magufuli na genge lake ndio walikuwa washangiliaji wakuu wa hizi sheria za madini.
Tena walikuwa radhi kumtolea lugha kali yeyote aliyezipinga.
Leo hii MAGUFULI anajifanya ametoka sayari nyingine, hajui hata kama yeye ni mmoja wa wahusika wa uchafu huu.
Ujinga sana, upuuzi sana!